Weusi umenikosesha mume ngoja nikanunue karolaiti
sasa lugha ya london huku usukumani hatujui...
unasema umepoteza nini eti make nmeona tu neno natafuta.
we umeelewa?Hahahaaa mweeh
Yes of course material wife.Hii ni lugha ya London
Jamani MMU nahitaji mke mwema awe na sifa zifuatazo;bikra,elimu kuanzia form4,mkristo,mcha Mungu,mrefu kiasi,mweupe kias
Je na wewe una sifa za kufanana na huyo unaemtafuta... maandiko husema mke mwema hutoka kwa mungu na mungu humpa mtu yule wa kufanana nawe. usicomplicate maisha maana ndoa ni zaidi ya vyeti na hizo sifa nyingine ulizozitaja... nakushauri kuwa simple na endelea kutafuta taratibu utaona baraka za mungu kwa kuletewa mwanamke akufaae.
we umeelewa?
Hahaaa nimeona anasema material sa sijui ya kujengea au kapoteza desa la hisabati mi thijui