Mimi ni kijana wa miaka 25 katika maisha yangu huwa najisikia mpweke sana kama sipo kazini.Kwani sijawahi kuoa na sina mpenzi wala mchumba.Nahitaji mwanamke yeyote wa kubadilihana naye mawazo.
My...
Habari za masiku.
Ni mara ya tatu narudi kwenye jukwaa kwa sababu ile ile.Nipo tayari na nimejiandaa kuwa mume bora.Nina imani humu nitampata mke bora wa maisha yangu.
Aliyetayari kuwa mke bora...
Habari na heri ya mwaka mpya ndugu zangu.
Mimi ni mwanaume wa miaka 27 now,nipo Moshi mjini Msaranga.Elimu bachelor degree of banking and finance,mchaga wa Oldi moshi,mkristo safi Lutherani,mrefu...
Nakaribisha PM kwa mdada mwenye nia ya dhati ya kuolewa. Sifa awe mkristou umri wake usizidi miaka 29.
Mwenye mtoto 1 ruksa,asiwe mnene na asiwe mweusi,awe anajua kusoma na...
Habari wana Jamii forums.
Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.umri wangu ni Milka 29,Elimu yangu ni shahada ya...
Nahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu...
Natafuta rafiki/mpenzi mwenye umri huo, umri wangu ni kati ya 38-45. Sifa kuu awe mwelewa, mpole asiyeongea kwa kupiga makelele na awe na Elimu walau kidato cha nne.
Welcome.
Natafuta mke awe na sifa zifuatazo:
Awe mweupe,awe na kijungu aka msembwende aka makalio makubwa,awe anatokea mikoa kati yakilimanjaro,mwanza,lindi au mtwara,awe na Elimu angalau diploma...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi ni kijana nina 26 yrs nafanya kazi wizara ya ulinzi, nipo Dar es salaam area naitaji mwanamke wa kuoa umri asizidi 26yrs Dini si kigezo.
Aliye...
Akina dada humu ndani hamjambo,Mimi ndio kwanza najiunga na hili jamvi la Jamii forums.
Natafuta girlfriand anipe kampani mwenye sifa zifuatazo:
1.Mrefu wastani, mimi urefu wangu 173cm.
2.Asiwe...
Mimi Mjasiriamali nahitaji Mke mwenye vigezo vifuatavyo:
-Mkristo na hasa awe tayari kufunga ndoa RC
-Mfanyakazi na hasa mwalimu.
- Hajawahi kuolewa au kuzaa.
-Asiwe mwembamba na sio...
1. Faith: A truly God fearing lady who is a Christian whereby a RC is preffered.
2. Age: has to vary from 24- 27 years or slight differences.
3. Education: At least a bachelor's degree, a...
1. Faith: A truly God fearing lady who is a Christian whereby a RC is preffered
2. Age: has to vary from 24- 27 years or slight differences
3. Education: At least a bachelor's degree, a teacher is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.