Nahitaji Mke haraka

Nahitaji Mke haraka

Joined
Jan 14, 2015
Posts
79
Reaction score
18
Mimi Mjasiriamali nahitaji Mke mwenye vigezo vifuatavyo:

-Mkristo na hasa awe tayari kufunga ndoa RC

-Mfanyakazi na hasa mwalimu.

- Hajawahi kuolewa au kuzaa.

-Asiwe mwembamba na sio mnene sana.

-Umri kati ya miaka 22 hadi 30.

- Urefu wa wastani.

-Uaminifu ndo mpango mzima.

Huhusiki acha,ukiona fursa Pm.
 
Sijawahi kusikia kuwa mtu anahitaji mke wa haraka tokea nazaliwa.Kwani wewe umekuwa jogoo, maana jogoo ndiye kila siku ana haraka
 
unataka mke kwa haraka halaf umesema kama huhusiki tembea
 
Hao wa haraka ni wale wanajiuza,lakin hawa wa kutongoza siku mbili mpaka wiki, kuomba papuchi iwe assigment nyingine sijui kama itakuwa haraka hivyo
 
Mkuu mke wa haraka huwezi kumpata....ila kama unataka papuchi ya haraka wahi kimboka au uwanja wa fisi.......
 
Mie ni mjasiriamali nahitaji Mke mwenye vigezo vifuatavyo:

-Mkristo na hasa awe tayari kufunga ndoa Rc
-Mfanyakazi na hasa mwalimu.
- Hajawahi kuolewa au kuzaa.
-Asiwe mwembamba na sio mnene sana.
-Umri kati ya miaka 22 hadi 30.
- Urefu wa wastani.
-Uaminifu ndo mpango mzima

Huhusiki tembea,ukiona fursa Pm

Napata ukakasi kuona mke anatafutwa au kusakwa haraka namna kama maombi ya 'emergence passport" .
 
Kama ndio utafutaji wa dizaini hiyo wacha wakukimbie tu.
 
yaani anadhani ni kama bidhaa ya kuuzwa haraka kama vile kunadi nyumba ya mkopo wa benki....mwanamke wa ndoa ni mipango mkakati na sio kama mchezo wa guru gusa anaoleta mdau mleta mada.

ni tatizo kubwa mleta mada anashida
 
umesema haraka ndo maana hata mimi nimesoma haraka haraka.
hivi ohio hupajui?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom