Kila kijana au msichana anataka mwenza anayemcha Mungu, mwaminifu, mkweli, mkarimu, anayejali na mwenye upendo wa kweli. Na hayo ni mambo muhimu ya kuyatafuta kwa mwenzi wa Maisha.
Sasa cha...
huu uzi utasaidia kujua on average msichana/kijana wa kazi kwa sasa anapaswa kulipwa bei gani kw amwezi ili kutimiza majukumu yote ya nyumba................
haya taja.....
Jamani mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikiishi Maisha ya usingle sasa nahitaji kua na mwenza nina umri miaka 22 nahitaji Mchumba mkweli ili baadae nimuoe awe Umri kati ya miaka 20 hadi 25...
Wakuu, ninashukuru Mungu na uwepo wa JF .
Ninawashukuru wote waliochangia kwenye huu uzi na wale walioonyesha interest munisamehe tu bure ikiwa nimewakwaza kwa namna moja au nyingine hapa na...
Heri ya Mwaka mpya wana Jamii Forums. Ni Busara kama tutaitumia hii fursa ya kuuona mwaka 2015 ni vyema na kua na msaada kwa watu. Unaweza kuwa msaada kwa kuongea kwa Hekima au kukaa kimya. Sio...
Dear Members happy new year!
Kwa mara nyingine napenda kuleta kwenu ombi langu la kutafuta mwanamke aliye-serious tu kuolewa.
Napenda awe Mwalimu au Nurse lakini si lazima.
Mimi nina...
Habari ya weekend.
Nina thamini sana marafiki,nina amini katika marafiki kwakweli. Kama unahitaji rafiki wa kuongea nae au kusaidiana katika mawazo,mambo ya kuhusu maisha,mambo ya...
Wana jamii, mimi ni mwanaume mkamilifu kabisa, nina miaka 34, nina mtoto1. najitokeza kwenu kutafuta mwanamke wa kuoa, awe mwelewa, mwenye hofu ya Mungu, awe amekua kiakili na kimwili pia...
Sisi ni Kikundi cha Wavulana watatu ambao tumekuwa pamoja na tumesoma pamoja hadi hatua ya kuajiriwa Serikalini mmoja kati yetu ameajiriwa Serikali kuu na wawili tupo katika mashirika ya umma...
Habari wana JF, am a young guy, age 26.
Basically ni Mwandishi wa articles, Hadithi fupi, Riwaya, report na proposals. Pia nafanya Graphic designing kidogo.
Am looking forward kupata Marafiki...
Habari za xmass wana jf,
Kama title inavyosema, nahitaji binti aliyetayari kuolewa anipm, awe na vigezo vifuatavyo
Miaka isizidi 28
elimu isiwe chini ya form 4
kabila lolote
Mwenye heshima...
Natafuta rafiki wa kike, ambaye tunaweza kwenda steji ya pili ya uchumba na Ndoa. umri kati ya 18 hadi 24, awe Muislam, Mfupi lakini si Mbilikimo Elimu yeyote.
Nimekuwa Single kwa muda sasa. Ninahitaji binti,kwa kuanzia,rafiki,na labda kadri muda uendavyo kuingia phase nyingine ya maisha.
Umri wangu miaka 30,Dini mkristo,Kabila Mu-Ikizu,Elimu yangu,Chuo...
Habari wakuu. Jinsia yangu ni mwanaume najitokeza kutafuta rafiki wa kike ili baadae tufunge ndoa.Elimu yangu ni kidato cha nne,na Umri wa miaka 27,Dini mkristo,Kazi nimejiajiri .Nimtafutae elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.