Jinsia yangu ni mwanaume Ninaeishi Dar es salaam,Elimu yangu ni Chuo ,ni mwajiriwa.natafuta mke wakuoa Mwenye sifa Zifuatazo:
-Mweupe
-Elimu -chuo Kikuu
-Amejiajiri/kuajiriwa
-Umri 20-32...
Mi ni kijana mtanzania,mrefu kiasi,mweupe,Umri wangu ni miaka 32 sina Mtoto,nahitaji mwanamke alietayari na anaejitambua Umri wake usizidi miaka 36 alie tayari ani Pm tuongee vizuri au anitafute...
Nimenyanyasika sana na mapenzi yote kisa sina kazi.Nshapata Cheq namba tayari na nimeanzia TGTS G.
Yule binti kigori mbichimbichi chiken chiken ani PM tuchek utaratibu wakukaa ndani kidogo...
Jamani nimechoka kuwa single.
Namhitaji Sasa Mrembo Msomi Mkristo Mrefu Mwenye hofu Ya Mungu Umri 18-27 Na Mwenyekazi Au Asiye Na Kazi. Mimi Mjasiria Mali Umri Wangu 31 Kwa Aliyeserious Tu...
Hamjambo wanajamvi.
Mimi ni Kijana mwenye miaka 27, Mkirsto, elimu yangu ni Chuo kikuu.
Ninahitaji mchumba,dada mwenye umri kati ya 23-25/.Mkristo,Mcha-Mungu.
Mwenye kiasi. Mrembo of...
Jamani am tied of being with men ambao hawajui wanataka nini in life I need a serious man.
Am 23.
Mhaya na ni mnene kidesign.
Shepu ya kihaya to be precise.
Ni mweusi na sio mrefu wala mfupi...
Mimi ni mwanaume,umri wangu ni 30 natafuta mke wa kuoa.Naishi Dar es salaam kwa mawasiliano zaidi ni pm usisahau kuweka namba ya Simu.Ni mwajiriwa,Elimu yangu ni Chuo.
KWAWANAWAKE TU
Natafuta mchumba elimu yangu shahada ya information communication technology,ninaishi dsm,umri wangu miaka 26,sura yangu ni maji yakunde urefu wangu futi 6,napendelea kucheza mpira...
Nimepata Rafiki wa kweli humu Ndani (dada wa makamu) baada ya kuandika kuwa nahitaji marafiki na hivi sasa tumekuwa kama ndugu tunasaidiana kwenye shida na raha.Kumbe hapa Jamii Forums ni...
Hivi nyinyi mnaotafuta wachumba kupitia mitandao ya kijamii,inamaanatangu mzaliwe, huko mnakoishi hamjawahi kuwaona wanawake/wanaume wa kufunga nao Ndoa. Au wanaume/wanawake wa kwenye social...
Habari za usiku wana Mmu. Mimi ni Daktari mwanafunzi Chuo cha udakitari Bugando. Natafuta girlfriend awe na umri wa Miaka 18 hadi 24. Mawasiliano zaidi namba yangu ni 0652776485. Picha yangu ni Pm...
Asiwe na Miaka 40 asiwe chini ya Miaka 24 awe na Kazi inayompatia Kipato. Gharama zote za kumtunza, kusomesha Mwanangu zitakuwa zangu,ila hakuna kuoana kwa aliye tayari aje inbox.
Habari.
Nilipost humu kuhusu kutafuta Mchumba ili nimuoe ila mrejesho niliopata Pm nina hakika hapa sio sehemu sahihi,jamani mi sio wa kuhamisha Pm kuja hapa.
Nimejifunza sana kuna ambao...
Jamani wadada natafuta Mpenzi ambaye kama tutaenda vizuri tutakuwa Mke na Mume.Awe Mkristo asiwe Mwembamba sana awe Mrefu kiasi rangi yoyote ila napendelea zaidi rangi nyeusi.Mimi nipo Tanga...
Jamani huyu rafiki simuelewi au ni sawa, we use to comunicate most of the time she is single.
Butt soon after nimemu itroduce my boyfriend kakata mawasiliano na mimi marazote yupo bize...
Anayejitambua awe mrefu wastani, mweupe, mwembamba, mkristo mchamungu wa kumaanisha (RC) umri 18 - 24, awe mwaka wa kwanza ngazi ya diploma. Nipm aliyeguswa
Habari ya usiku wapendwa.
Mimi ni mwanamke age 40 to 45 ni mwajiriwa na pia mjasiriamali nahitaji marafiki wa jinsia zote, umri wowote ili tuweze kujadili kuhusu Maendeleo hasa kuongezeana ujuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.