Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Poa
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Jinsia yangu ni mwanaume Ninaeishi Dar es salaam,Elimu yangu ni Chuo ,ni mwajiriwa.natafuta mke wakuoa Mwenye sifa Zifuatazo: -Mweupe -Elimu -chuo Kikuu -Amejiajiri/kuajiriwa -Umri 20-32...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Mi ni kijana mtanzania,mrefu kiasi,mweupe,Umri wangu ni miaka 32 sina Mtoto,nahitaji mwanamke alietayari na anaejitambua Umri wake usizidi miaka 36 alie tayari ani Pm tuongee vizuri au anitafute...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimenyanyasika sana na mapenzi yote kisa sina kazi.Nshapata Cheq namba tayari na nimeanzia TGTS G. Yule binti kigori mbichimbichi chiken chiken ani PM tuchek utaratibu wakukaa ndani kidogo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamani nimechoka kuwa single. Namhitaji Sasa Mrembo Msomi Mkristo Mrefu Mwenye hofu Ya Mungu Umri 18-27 Na Mwenyekazi Au Asiye Na Kazi. Mimi Mjasiria Mali Umri Wangu 31 Kwa Aliyeserious Tu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hamjambo wanajamvi. Mimi ni Kijana mwenye miaka 27, Mkirsto, elimu yangu ni Chuo kikuu. Ninahitaji mchumba,dada mwenye umri kati ya 23-25/.Mkristo,Mcha-Mungu. Mwenye kiasi. Mrembo of...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani am tied of being with men ambao hawajui wanataka nini in life I need a serious man. Am 23. Mhaya na ni mnene kidesign. Shepu ya kihaya to be precise. Ni mweusi na sio mrefu wala mfupi...
14 Reactions
286 Replies
43K Views
Mimi ni mwanaume,umri wangu ni 30 natafuta mke wa kuoa.Naishi Dar es salaam kwa mawasiliano zaidi ni pm usisahau kuweka namba ya Simu.Ni mwajiriwa,Elimu yangu ni Chuo.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KWAWANAWAKE TU Natafuta mchumba elimu yangu shahada ya information communication technology,ninaishi dsm,umri wangu miaka 26,sura yangu ni maji yakunde urefu wangu futi 6,napendelea kucheza mpira...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
  • Closed
Nimepata Rafiki wa kweli humu Ndani (dada wa makamu) baada ya kuandika kuwa nahitaji marafiki na hivi sasa tumekuwa kama ndugu tunasaidiana kwenye shida na raha.Kumbe hapa Jamii Forums ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kuchat,naitwa Frank 0786237866.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi nyinyi mnaotafuta wachumba kupitia mitandao ya kijamii,inamaanatangu mzaliwe, huko mnakoishi hamjawahi kuwaona wanawake/wanaume wa kufunga nao Ndoa. Au wanaume/wanawake wa kwenye social...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za usiku wana Mmu. Mimi ni Daktari mwanafunzi Chuo cha udakitari Bugando. Natafuta girlfriend awe na umri wa Miaka 18 hadi 24. Mawasiliano zaidi namba yangu ni 0652776485. Picha yangu ni Pm...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Asiwe na Miaka 40 asiwe chini ya Miaka 24 awe na Kazi inayompatia Kipato. Gharama zote za kumtunza, kusomesha Mwanangu zitakuwa zangu,ila hakuna kuoana kwa aliye tayari aje inbox.
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari. Nilipost humu kuhusu kutafuta Mchumba ili nimuoe ila mrejesho niliopata Pm nina hakika hapa sio sehemu sahihi,jamani mi sio wa kuhamisha Pm kuja hapa. Nimejifunza sana kuna ambao...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Hi to ladies only, msichana aliyopo Jf aliye Dubai kipindi hiki cha shopping festival tafadhali ni pm tusocialize.For ladies only
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wadada natafuta Mpenzi ambaye kama tutaenda vizuri tutakuwa Mke na Mume.Awe Mkristo asiwe Mwembamba sana awe Mrefu kiasi rangi yoyote ila napendelea zaidi rangi nyeusi.Mimi nipo Tanga...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani huyu rafiki simuelewi au ni sawa, we use to comunicate most of the time she is single. Butt soon after nimemu itroduce my boyfriend kakata mawasiliano na mimi marazote yupo bize...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Anayejitambua awe mrefu wastani, mweupe, mwembamba, mkristo mchamungu wa kumaanisha (RC) umri 18 - 24, awe mwaka wa kwanza ngazi ya diploma. Nipm aliyeguswa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ya usiku wapendwa. Mimi ni mwanamke age 40 to 45 ni mwajiriwa na pia mjasiriamali nahitaji marafiki wa jinsia zote, umri wowote ili tuweze kujadili kuhusu Maendeleo hasa kuongezeana ujuzi...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Back
Top Bottom