Nataka kuoa, aliye tayari ani-PM

Nataka kuoa, aliye tayari ani-PM

Masai Mara

Senior Member
Joined
Dec 25, 2014
Posts
134
Reaction score
54
Habari za masiku.

Ni mara ya tatu narudi kwenye jukwaa kwa sababu ile ile.Nipo tayari na nimejiandaa kuwa mume bora.Nina imani humu nitampata mke bora wa maisha yangu.

Aliyetayari kuwa mke bora asisite kunipm.

Asanteni
 
Habari za masiku
Ni mara ya tatu narudi kwenye jukwaa kwa sababu ile ile.Nipo tayari na nimejiandaa kuwa mume bora.Nina imani humu nitampata mke bora wa maisha yangu.

Aliyetayari kuwa mke bora asisite kunipm

Asanteni

Tahadhari: Si kila ID ya kike humu inamanisha ni nwanamke..... Yasije yakakutokea puani.

Kila la kheri.
 
Mkuu mi nipo sawa sana.Hili tangazo ni kuhuisha tangazo la nyuma, siwezi kukopi kila kitu cha tangazo lililopita.Utakuwa umenielewa
Haya mkuu...MUNGU akuangazie katika safari yako ya kumtafuta mwenza na akujaze umakini katika hilo........wote tuseme AMEN
 
Mbona unaelekea unaharaka sana? ebu jitambulishe vizuri na utueleze nini unataka ukisema mke inamaa huna Choice?
awe mke tuuu?
 
Mbona unaelekea unaharaka sana? ebu jitambulishe vizuri na utueleze nini unataka ukisema mke inamaa huna Choice?
awe mke tuuu?

Kama nilivyomjibu jamaa hapo juu.Hili tangazo ni huisho ya tangazo la mwanzo ambalo lina vigezo vyote.Nadhani utakuwa umenielewa
 
weka cv yako hapo watakufuata wenyewe huna haja ya kutangaza
NB: kizuri cha kiuza kibaya cha jitembeza
 
Nakushauri tafuta aliepo kwenye jamii yako humu utauvaa mkenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom