Umetumia njia sahihi kumtafuta, maana kumtongoza msichana asiyeongea inahitaji utaalamu wa hali ya juu!!!
Natafuta rafiki/mpenzi mwenye umri huo, umri wangu ni kati ya 38-45. Sifa kuu awe mwelewa, mpole asiyeongea kwa kupiga makelele na awe na Elimu walau kidato cha nne.
Welcome.
hahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa hivi mwenye makelele anakuwaje ndugu yangu maana siwajui wa hivyo
Hakuna mwenye umri kati ya 38-45..Selma umriwako name unawatoto wangapi nje usije ukawaumetumia ujama name mwingine EDA umalize namwana Jf lohNatafuta rafiki/mpenzi mwenye umri huo, umri wangu ni kati ya 38-45. Sifa kuu awe mwelewa, mpole asiyeongea kwa kupiga makelele na awe na Elimu walau kidato cha nne.
Welcome.
Some ladies speak on top of their voices such that even neighbors wanajua kila kitu. Wanaume wengi wanapenda mwanamke ambaye ni soft spoken
Wewe hauongei sana??Mimi nipo mkuu nipm
alaaa kumbe sikujua thanks kwa hilo
je umeshampata huyo mwanamke?
kamwambie shangazi yako au mjomba ndio kazi zao hizi!!
hahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa hivi mwenye makelele anakuwaje ndugu yangu maana siwajui wa hivyo
Mpaka sasa hakuna hata aliyeonyesha interest
Kinytiku MKUU nimeota umeshikamana nananii mnalazimishana tendo la embuu ngojaa niombee hii ndoto manake wahumuhumu jf
Natafuta rafiki/mpenzi mwenye umri huo, umri wangu ni kati ya 38-45. Sifa kuu awe mwelewa, mpole asiyeongea kwa kupiga makelele na awe na Elimu walau kidato cha nne.
Welcome.