She MUST POSSESS the following Qualifications:
1. Not married before, not have kids before.
2. Age...not more than 28 years old.
3. RELIGION - preferably Roman Catholic but also can be either...
Wakuu natumaini hamjambo.
Natangaza leo ya kwamba kwa yeyote aliye na ujauzito asioutarajia au kupenda tafadhali asitoe mimba, asubiri mpaka atakapojifungua kisha kama hamtaki mtoto asimtupe...
Umri wangu ni 28yrs, ni mkristo mwenye hofu ya Mungu. Nina shahada ya kwanza, ni mfanyakazi. natafuta msichana/mwanamke mwenye mapenzi ya ukweli, mwenye nia na malengo ya chanya ya kimaisha...
kama we ni mdada, unahisi unajiamini na ni mtu mzima unaejielewa (i mean +18). na unahitaji kuwa kwenye mahusiano yaliyo serious, umri usizidi miaka 28. plz nipm.
nota bene; kama haikuhusu pita...
Jinsia yangu: mwanaume
Natafuta mchumba wa kike
Lengo: Kuoana kama tukiridhiana
Umri wake : Asizidi miaka 25
Mwonekano wake: umbo la wastani, ( asiwe mnene sana au mwembamba sana)
Elimu yake...
Miaka yangu 24,natafuta NTU ambae ana sifa yeyote apo juu
Kama mwanamke awe mchumba au hata urafiki wa kawaida
Kama Me awe rafiki wa kawaida wa kushare experience za maisha.
hi wanajf naitwa richard najitokeza kwenu nikitafuta mwanamke mwenye upendo wa kweli umri wangu ni miaka 25 naishi dar kwa aliyetayari tuwasiliane 0657-651602.
hi mambo kwa jina naitwa swabrina an 20 yrs old. napenda kuwa shukuru watu wote humu jamii forum.
kikubwa ni kwamba natafut marafiki wa kuchat nao sijali.wa kike am wa kiume. km utakuwa mmoj...
Jamani eee!!,
Nimefikiria sana kwa undani nimeona nije humu jamvini kutangaza kwamba sasa natafuta Mchumba ili aje awe mke wangu mungu akipenda, maana maisha ya ukapera na ubachela yamenichosha...
Mm ni kijana mwenye kujitambua na nina akili timamu sijakurupuka kuandika tangazo hili. Ki ukweli natafuta mchumba jinsia ya kike ambaye ana umri kuanzia 20-28 mwenye nia ya kuanzisha mahusiano...
ZA JIONI WADAU.
NAJUA KUA WANAUME WENGI SIKU IZI HAWATAKI WANAWAKE BIKIRA, KWAIYO HII NI KWA WALE TU WANAOHITAJI MKE BIKIRA. Sifa zangu, miaka 27, nina kazi inayoniingizia kipato, mkristo...
Mimi kijana wa umri wa miaka 25 natafuta mwanamke wa kuoa umri miaka 20-25 asiwe mnene sana au mwembamba sana ,angalau 4m 4 na kuendelea mimi ni 4m 4 nafanya biashara nipo dodoma ,contact me...
Mimi ni kijana umri 29 binafsi natafuta Rafiki Wa like ambaye tunaweza Fanya maisha pamoja sibagui dini ranging wala kabila binafsi naamini kuwa kazi sio mahusiano Bali mahusiano usaidia kuleta...
Nina miaka 29 natafuta mke awe mcha mungu,awe anajitambua na mkristu, aliye kanda ya ziwa ntampa kipa umbele zaidi. awe na umri kuanzia miaka 20-27, elimu kuanzia form four.
Alie tayari atume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.