Girlfriend/wife needed 4 my life It's serious issue!

Girlfriend/wife needed 4 my life It's serious issue!

Babu la bibi

New Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Mimi kijana wa umri wa miaka 25 natafuta mwanamke wa kuoa umri miaka 20-25 asiwe mnene sana au mwembamba sana ,angalau 4m 4 na kuendelea mimi ni 4m 4 nafanya biashara nipo dodoma ,contact me through this email patrickelias0@gmail.com tuma namba yako 2ongee kama upo tayar, usiwe mvivu kama we mvivu ucjisumbu harafu uwe na hesima kwa watu wote!
 
Daah! Mkuu Mbona utupia jukwaa la utambulisho badala ya Love Conection?
 
Mimi kijana wa umri wa miaka 25 natafuta mwanamke wa kuoa umri miaka 20-25 asiwe mnene sana au mwembamba sana ,angalau 4m 4 na kuendelea mimi ni 4m 4 nafanya biashara nipo dodoma ,contact me through this email patrickelias0@gmail.com tuma namba yako 2ongee kama upo tayar, usiwe mvivu kama we mvivu ucjisumbu harafu uwe na hesima kwa watu wote!

utaumia kijana ANGARIAAAAAA............
 
Mimi kijana wa umri wa miaka 25 natafuta mwanamke wa kuoa umri miaka 20-25 asiwe mnene sana au mwembamba sana ,angalau 4m 4 na kuendelea mimi ni 4m 4 nafanya biashara nipo dodoma ,contact me through this email patrickelias0@gmail.com tuma namba yako 2ongee kama upo tayar, usiwe mvivu kama we mvivu ucjisumbu harafu uwe na hesima kwa watu wote!
Duuuh.........kijana humu inatakiwa uwe makini sana. Kila la heri katika kusaka girlfriend. Na karibu sana JF
 
Hahahahaaa wenzio umri Kama huo wako shule wewe watafuta wife harahara Kijana utakula matango pori shauri yako😀😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom