Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mim ni Me nipo Dar, nahitaji binti mwenye kujitambua tuwe marafiki wa karibu na baada ya kufahamiana awe mke.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu hawako serous so Imetosha. Thanx
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha. - Awe Muislam wa umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi - Awe na Elimu kuanzia Diploma na kuendelea na...
2 Reactions
88 Replies
12K Views
Nahitaji mchumba aliyeserious na maisha na aliyekua na kuacha utoto,anasa na kufocus na maisha Hata kama ni jobles ntafungua biashara asimamie. Age 22-26 Asiwe mnywaji wa kilev chochote pls Mimi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nipo Dar hata kwa marafiki wa mikoani mnakaribiswa wa jinsia zote ni pm tupeane namba.
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Hi Jf. A man aging 30, Iam looking for my Eva who will marry me. Welcome for more information.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Iam 24years old. Na sababu iliyonifanya nitafute mwanamke aliyenizidi umri ni kuwa hawa wanawake ambao ni rika langu wamekuwa hawajui kujali, kuthamini na hata hawana upendo wa kweli. Ninahitaji...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wadau wa Jf, Mimi ni mwanaume natafuta marafiki wakubadirishana mawazo, sina ubaguzi wowote. Karibuni sana.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natumaini hamjambo wana jamvi, kuwepo humu ndani fursa ya kufahamiana pia ili kutengeneza upendo na amani zaidi katika jamii yetu kwa njia ya urafiki, karibuni wadada kwa urafiki, nifikishie...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello. Mimi ni kijana wa elimu. Nina degree moja sasa. Nahitaji mwanamke, awe tayari kupendwa, na yeye apende pia. Kulazimisha mapenzi hapa kwangu hapana. Nitazingatia sana afya, usiwe na STD...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Natafuta mke aliyetayari kuabudu mitume wote kwani mimi naamini dini zote ni sawa na binadamu wote ni sawa. Siku ya ijumaa niko tayari/awe tayari kwenda msikitini na siku ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume mkristo mwenye umri wa miaka 30 ni mtumishi wa serikali. Natafuta mchumba atakayekuwa mke mwema kwangu. Awe kabila lolote Tanzania, dini mkristo dhehebu lolote. Umri miaka...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi, Nimejitokeza humu kutafuta mchumba kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Lengo langu ni kumpata Mwanamke ambaye atanifaa mimi kwa kuamini kuwa mchumba...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
kichina
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu jamani, Napenda sana marafiki wa kuchart nao na kubadilishana mawazo ya maendeleo ili maisha yasonge.. walonizidi umri watanifaa zaidi, umri wang miaka 24 Karibuni
0 Reactions
11 Replies
1K Views
natafuta mke, baadhi ya sifa ; 1.awe mweusi. 2.Mpenda maendeleo. 3.Asiyekunywa pombe. 4.Asiyevuta sigara. 5.Asiwe mtu wa kujirusha kila weekend kwakifupi asiendekeze starehe. 6.Ajue wajibu wake...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Awe Muislam, asizidi miaka 28. Aliye tayari aje PM kwa mawasiliano zaidi. Elimu yangu ni ya Chuo Kikuu, pia nimeajiriwa serikalini.
0 Reactions
0 Replies
693 Views
za mda huu jamani... ctaki kuwa na maneno mengi ila ninaanisha.nahitaji mpz wa kike na sio kupotezeana mda nae awe anamaanisha.... 0688600155
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu natafuta mume awe na umri wa miaka 30 kuanzia apo
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Back
Top Bottom