LuCKNOVICH
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 104
- 11
Aisee kati ya mabinti walio kwenye ndoto yangu ni wa asili ya kinyarwanda au wanyawezi,sijui kwa sababu nimekaa maeneo hayo nakuwaona,sijui
Kwanini usiende Rwanda? Nenda ukakae miezi 6 au zaidi kwa hakika hapo hutakosa chaguo la moyo wako
Ila nasikia msamiati hapana ni neno geni kwao.
Sasa ukimchunguza sana mbwa huwezi kumla lol
Aisee kati ya mabinti walio kwenye ndoto yangu ni wa asili ya kinyarwanda au wanyawezi,sijui kwa sababu nimekaa maeneo hayo nakuwaona,sijui
unapenda wanyarwanda ehee watakuua
Unatokea kule kwa Mchg Msigwa :yawn: