Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,458
- 29,151
Jamani eee!!,
Nimefikiria sana kwa undani nimeona nije humu jamvini kutangaza kwamba sasa natafuta Mchumba ili aje awe mke wangu mungu akipenda, maana maisha ya ukapera na ubachela yamenichosha sasa.
Vigezo;
Awe mrembo,
Mchapa kazi,
Asiwe mnywaji wa pombe,
Asiwe mpenda kujirusha,
Asiwe muongeaji sana,
Kabila lolote kasoro Mzaramo, Mkinga, ****** na Mmachame,
Sio mnene sana but angalau uwani kajazia,
Elimu kuanzia Form6, na awe tayari kujiendeleza zaidi,
Asiwe mkorofi wala mgomvi,
Dini yoyote, ila tu aamini Mungu ni mmoja Muhammad ni moja ya mitume wake,
Kazi sio lazima sana, ila kama anayo iwe ya halali,
Umri usizidi miaka 27,
Awe hajawahi kuolewa akaachika,
Msafi wa nje na ndani,
Mpenda na mheshimu ndugu zake na zangu,
Mwenye upendo wa kweli sio wa 'kifedha' zaidi,
Awe tayari kupima hospitali.
Wasifu wangu,
Elimu Degree moja,
Muislam,
Mwajiriwa sekta binafsi,
Mpole,
Mrefu kias (1.8m),
Kwa alie tayari tujuane zaidi kwenye ''Private Message''
Nimefikiria sana kwa undani nimeona nije humu jamvini kutangaza kwamba sasa natafuta Mchumba ili aje awe mke wangu mungu akipenda, maana maisha ya ukapera na ubachela yamenichosha sasa.
Vigezo;
Awe mrembo,
Mchapa kazi,
Asiwe mnywaji wa pombe,
Asiwe mpenda kujirusha,
Asiwe muongeaji sana,
Kabila lolote kasoro Mzaramo, Mkinga, ****** na Mmachame,
Sio mnene sana but angalau uwani kajazia,
Elimu kuanzia Form6, na awe tayari kujiendeleza zaidi,
Asiwe mkorofi wala mgomvi,
Dini yoyote, ila tu aamini Mungu ni mmoja Muhammad ni moja ya mitume wake,
Kazi sio lazima sana, ila kama anayo iwe ya halali,
Umri usizidi miaka 27,
Awe hajawahi kuolewa akaachika,
Msafi wa nje na ndani,
Mpenda na mheshimu ndugu zake na zangu,
Mwenye upendo wa kweli sio wa 'kifedha' zaidi,
Awe tayari kupima hospitali.
Wasifu wangu,
Elimu Degree moja,
Muislam,
Mwajiriwa sekta binafsi,
Mpole,
Mrefu kias (1.8m),
Kwa alie tayari tujuane zaidi kwenye ''Private Message''