Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Educated from diploma to degree level,serious you want marriage,u have a good vision of what u want in marriage,u like to create ur family!!!u have a good shape!! .job or jobless!!!.here lm ur man...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Mimi ni kijana wa miaka 23 niko chuo degree mwaka wa 3 Dar es Salaam. Niko single na ninatafuta mpenzi wa kuwa nae kwenye mahusiano.Aliyetayari ani PM kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume, umri wangu ni miaka 28,elimu yangu ni Masters. Natafuta rafiki wa kike.Aliye tayari anipm kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Bata batani kama kawaida yng,ni Pm twende sawa ila kama upo Shinyanga au Mwanza. Karibuni warembo,msihofu kuhusu mtonyo Boy nipo Shy Town
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni kwaajili ya kubadilishana mawazo katika story mbali mbali za kimaisha,mapenzi na mengine mengi umli kuanzia 18 na kuendelea nicheki Facebook king suley Whatsapp no 0782498431.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hello strangers Nilikua mahabusu kwa zaidi ya mwezi kutokana na masahibu yaliyonikuta,nimepoteza mpenzi,pesa na mambo kibao but bado na hustle. Umri wangu ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
I need serious female escort to trip with to Iringa from Dsm and round trip as well, awe aged 20-27 and in case una bwana wako please ask permission usije ukaachwa bure!! kwa tamaa ya 1 week...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Mm ni mtanzania nisiye na makuu naitaji mwenza kma maandiko yavyosema mwanamke atamuacha mamaye na babaye na kuambatana na mumewe wawe kitu kimoja cbagui dini wala kabira umri kuanzia miaka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mi ni kijana age 25! Natafuta mpenzi age 18-30
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hi! I'm 20 years of age looking for a lady to mingle
0 Reactions
3 Replies
835 Views
Mm ni me.ni miaka 2 imepita tangu niachwe na aliyekuwa mke wangu .sasa nahitaji mke .elimu yangu ni FTC in electrical.mwajiriwa .miaka 42.naishi Dar dini mkristu.ninayemtaka.dini yeyote umri max...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Hi Ladies, Natafuta rafiki wa kike/mpenzi tuwe kwenye mahusiano na baaade ndoa Mungu akibariki. Awe tayari kunipa mapenzi yake yote nami nipo tayari kumuhudumia ipasavyo kama mwanamke wangu,na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nahitaji mwanadada tokea dar anayejielewa, mchapakazi na mpenda maendeleo mwenye changamoto za maisha age kuanzia 20 up to 24 and mwenye true love kama uko tayari ni pm au 0755091728. Asante
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Mm ni kijana miaka30,nahitaji mpenz/mchumba wa kike mwenye miaka 30-37 awe na elimu ya masters/phd. Vigezo vya kimaumbile na kimuonekano havitazingatiwa.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kama wewe ni mwanamke uliye serious, na unatafuta mume niPM. Vigezo na mambo mengine tutazungumza private. kama hupo serious ipotezee.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa cha habari hapo juu cha husika, Jinsia yangu ni mwanaume urefu wastani rangi ya kunde na mail wa wastani sio mnene wala mwembamba elimu chuo kikuu kazi serikalini dini Mkristo, lugha nne...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama ni binti mrembo upo Arusha PM me then tutajadili kitu me na wewe.Umri 18-25,it is in good concern don't fear anythn
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nimepata transfer ya kikazi mkoani Mwanza mi kwa asili yangu ni mgumu sana kutengeneza marafiki sababu ni mkimya hivyo kwa wenyeji hapa Mwanza jinsia zote ukiwa kijana wa -32 ni vizur zaidi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama wewe ni girl age 18-35 na unaitaji mahusioni ya kweli na dhati kutoka kwa mwanaume atakayekujari,kupenda na kukupatia matunzo yote muhimu tafadhar ni PM.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
mimi ni mvulana wa miaka 23, sasa niko chuo namalizia mwaka wa tatu, na natafuta msichana ambaye tutaku pamoja as friends na if God wishes tuwe loers. my qualities: urefu: 150 cm rangi: maji ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom