Mimi ni single,elimu yangu shahada,sina kazi napatikana Dar umri miaka 28,natafuta mpenzi wa kike,umri miaka kuanzia 23-26, elimu kuanzia kidato cha nne mpaka chuo.
Kama upo tiari chukua namba...
Mimi ni kijana umri miaka 23, elimu yangu ni ya chuo kikuu. Natafuta rafiki wa kike mwenye MALENGO na MSIMAMO ambaye tunaweza kubadilishana mawazo, kupanga maisha na baadae MUNGU akijalia tuweze...
Kwanza namshukuru mungu kwa kunipa uhai kwa siku ya leo.
Kimsingi niko hapa kuwaunganisha watu wanaotafuta WACHUMBA.
Nimeamua kufanya hivi kwani hitaji la watu ni kubwa humu JF ila kunawatu...
nahitaji mke wa kufunga nae ndoa, awe na umri kati ya miaka 23-28, awe muslim anaemuogopa Mungu, awe anajitambua, anaejua thamani ya ndoa n.k.... niPM utajibiwa haraka
NB. kabila yoyote
....mimi ni kijana(ME) umri 23 years, nina elimu ya chuo kikuu. Natafuta rafiki wa kike ili tushirikiane katika mambo mbalimbali na hata baadae kuoana kama ikiwezekana.....umri uwe kati ya...
kwa mara nyingine najitokeza hapa...
Natafuta rafiki wa kike ambaye ni mkristo mchaji na mwenye hofu ya Mungu ndani yake. Asizidi miaka 27, asiwe mfupi. kwa aliye serious anipm ... kuhusu...
Nahitaji mwanamke ambaye tayali ni mtu mzima na pia awe mnene, mkweli, muwazi na mwenye upendo wa dhati pia awe na kazi. Naomba kama yupo ani PM au anitumie email hapa imani.mangowi@gmail.com
Niahitaji Msichana mrembo kiasi.. Mwenye umri kuanzia 22 hadi 26 Mwenye shahada either ya bachelor of science in medicine, civil and electric and Mechanical engineering, computer science...
mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 22, natafuta marafiki wa jinsia zote kwa ajili ya kupeana challenge katika maisha, nipo chuo kikuu, kama upo interested nipm ili tuwasiliane
Hello Ladies, hi. Natafuta mwanamke mrembo anayejitambua na ambaye yupo tayari Kuishi maisha ya ndoa not wasting my time. Awe mrembo - presentable FIGURE, umri usizidi miaka 27, awe anajitambua ...
Rafiki woote wa kike... Tuchatt tufahamiane na Tubadilishane mawazo, Naihisi huu urafikii unawezaa ukaniwezesha kupata Mpenzi wa kike, so ni PM usizidi miaka 22
Wadau,
Nimekua nikifuatilia matokeo ya Uchaguzi wa Kenya kupitia TV Channel ya CITIZEN.
Kuna huyu binti anaitwa Lulu ananikosesha usingizi jamani. Yaani nkimuangalia tu basi mapigo ya moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.