Mimba zisizotarajiwa au kutakiwa

Mimba zisizotarajiwa au kutakiwa

Malyenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
6,658
Reaction score
3,664
Wakuu natumaini hamjambo.

Natangaza leo ya kwamba kwa yeyote aliye na ujauzito asioutarajia au kupenda tafadhali asitoe mimba, asubiri mpaka atakapojifungua kisha kama hamtaki mtoto asimtupe wala kummua bali awasiliane na mimi kisha nikotayari kumlea huyo mtotoNitafuata sheria zote za nchi katika kukabidhiana mtoto. Si lazima mtoto aje awe mali yangu bali mimi nitamlea tu kwa ajili ya kumwokoa na kulinda maisha yake.

Kuwasiliana na mimi kwa kuanza ni kwa njia ya PM kisha mawasiliano mengine yatafuata. Mimi naishi Dar Es Salaam.

Asanteni sana.....
 
Wakuu natumaini hamjambo.
Natangaza leo ya kwamba kwa yeyote aliye na ujauzito asioutarajia au kupenda tafadhali asitoe mimba.....asubiri mpaka atakapojifungua...kisha kama hamtaki mtoto asimtupe wala kummua bali awasiliane na mimi kisha nikotayari kumlea huyo mtoto. Nitafuata sheria zote za nchi katika kukabidhiana mtoto. Si lazima mtoto aje awe mali yangu bali mimi nitamlea tu kwa ajili ya kumwokoa na kulinda maisha yake. Kuwasiliana na mimi kwa kuanza ni kwa njia ya PM kisha mawasiliano mengine yatafuata. Mimi naishi DaeDar Es Salaam.
Asanteni sana.....
Wewe utahamasisha umalaya. Kwani unaweza kuchukua watoto wangapi?
 
Natamani Tangazo hili lipate boost kubwa zaidi.
 
SUPER PREDATOR angalia mwenzio Focus120 alichojibu. Si lazima wote niwalee mimi bali nimeokoa watoto wengi sana ambao wangeuawa kwa njia ya kutoa mimba ama kuuliwa baada ya kuzaliwa. Tangazo langu linahamasisha watu wasitoe mimba ama kuua watoto bali wawapeleke sehemu za kulelea watoto ama kuwapa watu wanaoweza kukea hao watoto. Tangazo langu limeondoa moyo wa uuaji na kamwe halijahamasisha umalaya.....
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimesema watoto sijabagua....mbona mnaanza ubaguzi tena jama?
 
Wakuu natumaini hamjambo.

Natangaza leo ya kwamba kwa yeyote aliye na ujauzito asioutarajia au kupenda tafadhali asitoe mimba, asubiri mpaka atakapojifungua kisha kama hamtaki mtoto asimtupe wala kummua bali awasiliane na mimi kisha nikotayari kumlea huyo mtotoNitafuata sheria zote za nchi katika kukabidhiana mtoto. Si lazima mtoto aje awe mali yangu bali mimi nitamlea tu kwa ajili ya kumwokoa na kulinda maisha yake.

Kuwasiliana na mimi kwa kuanza ni kwa njia ya PM kisha mawasiliano mengine yatafuata. Mimi naishi DaeDar Es Salaam.

Asanteni sana.....

Aisee we ni creative sana, nakupa tano.
Hapo lazima utafute wafadhili kisha unasimamia malezi ya watoto.

Faida: utaokoa watoto na bado uta create ajira kwa watu wengine

Una akili sana.
 
Wakuu natumaini hamjambo.

Natangaza leo ya kwamba kwa yeyote aliye na ujauzito asioutarajia au kupenda tafadhali asitoe mimba, asubiri mpaka atakapojifungua kisha kama hamtaki mtoto asimtupe wala kummua bali awasiliane na mimi kisha nikotayari kumlea huyo mtotoNitafuata sheria zote za nchi katika kukabidhiana mtoto. Si lazima mtoto aje awe mali yangu bali mimi nitamlea tu kwa ajili ya kumwokoa na kulinda maisha yake.

Kuwasiliana na mimi kwa kuanza ni kwa njia ya PM kisha mawasiliano mengine yatafuata. Mimi naishi DaeDar Es Salaam.

Asanteni sana.....

Kama uko serious nitakuunga mkono katika hili
 
Hii ni habari njema sana mkuu. Mi nakutakia kila la heri kwenye hili. Ningekuwa na mimba nisiyoitarajia ningekupa mtoto
 
Watu wa fursa utawaelewa tu kwa maandiko yao hii ni project ya maana sana ambayo ukimtonya mzungu anakutumia mafurushi ya pesa tu ebu onana na watu wa project planning unufaike sasaivi "in the twinkling of an eye"!
 
Hii ni habari njema sana mkuu. Mi nakutakia kila la heri kwenye hili. Ningekuwa na mimba nisiyoitarajia ningekupa mtoto

bado hujachelewa kuitafuta lakini!..sio mbaya ukiwa wa kwanza kutupa mrejesho!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom