Mimi ni kijana wa miaka 31, nimwajiliwa serikalini, nahitaji mwanamke wa kuishi naye kama mke.
Sifa;
1.Mrefu
2.Mweupe
3.Mcha Mungu
4.Awe tayari kuishi mazingira ya kijijini kwa wakati huu.
Aliye...
natafuta rafiki wa kweli
jinsia awe mwa kike
miaka 30-50
awe anaishi dsm
awe mpenda out ajue viwanja awe ananitembeza ila tu asiniuze maana wanawake sisi? sitaki kudalaliwa
awe na kipato...
any race, religious, ethics, education, location,,,, age U25.
I tall slim not black neither white, Christian, haya living dar es saaam,
interested lady call\text 0713 123 160.
DONT REPLY HERE.
Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote...
Kichwa cha post chajieleza. Nipo kigoma kikazi Na nitakuwepo takribani miezi mitatu,naomba kampani yako ewe mdada. Tafadhali atakae kuwa interested karibu pm.tuzungumze.
Heshima kwenu ndugu zangu.
Natafuta "MKE" sio mwanamke......kwa sababu wanawake wapo wengi lakini ambao wanafaa kuwa "MKE" ni wachache sana. Kuwa mwanamke haimaanishi kuwa wewe unafaa kuwa "MKE"...
Umri:20-26
Elimu: Shahada
Asiwe na mtoto,
Awe mkiristo
Mwembamba; maji ya kunde au mweupe. Mrefu wastani
Sifa zangu
Umri 27, elimu yangu ni shahada, maji ya kunde, mkiristo, Nina hofu ya Mungu...
Kama wewe unajiamini ni mrembo huna makuu zingatia sifa hizi
-usiwe maneno mengi
-usiwe mlevi wa kuchart
-km unamagroup ya watsap hakikisha nakuwa member
-Lazima uwe na mtoto (mmoja tu) na...
Ndugu wanajamiiforum heshima kwenu wakuu. mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 natafuta mke mwenye ajira yoyote inayomwingizia kipato ili nishilikiane nae kujikwamua kiuchumi, binafsi nipo...
Wasifu wangu;
Age 30,Elimu chuo kikuu, kazi - nimeajiriwa, nipo Dar,
Sifa za mchumba wa kike
Age 22 and above. Sina ubaguzi wa kabila, dini , etc. Cha msingi upendo wa dhati.
Njoo PM mchumba...
Mimi ni kijana wa miaka 25 urefu1.8 meter na ni maji ya kunde pia ni mwajiriwa serikalini, natafuta mke wa kuanza nae maisha mwenye umri kati ya miaka 20-25, dini yoyote ile awe mzuri wa kuvutia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.