Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

ankoekka

Member
Joined
Jul 23, 2016
Posts
85
Reaction score
21
Umri:20-26
Elimu: Shahada
Asiwe na mtoto,
Awe mkiristo
Mwembamba; maji ya kunde au mweupe. Mrefu wastani

Sifa zangu
Umri 27, elimu yangu ni shahada, maji ya kunde, mkiristo, Nina hofu ya Mungu.

Karibu mwenye sifa hizo. Ani PM.
Asante.
 
Unapesa? Tukutafutie? Kama huna hela bora usepe tu. Rudiana na ex wako.
 
Shahada ya Elimu katika Malezi na Ushauri Nasaha. Mimi ni mwanaume. Pesa sina kwa sasa. Nina taka mwenye mapenzi ya dhati.
 
Umri:20-26
Elimu: Shahada
Asiwe na mtoto,
Awe mkiristo
Mwembamba; maji ya kunde au mweupe. Mrefu wastani

Sifa zangu
Umri 27, elimu yangu ni shahada, maji ya kunde, mkiristo, Nina hofu ya Mungu.

Karibu mwenye sifa hizo. Ani PM.
Asante.
Shahada yako lazima iwe ya mwendo kasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom