Hahaha nadhani vyote hivyo watatafuta pamoja21 yrs[emoji47] [emoji46] [emoji47] [emoji46] ujajenga.. Una gari.. Pesa jeh u must think twice bro other wise tafuta life kwanza
[emoji134] [emoji134] [emoji134]Mm ni kijana wa miaka 21 natafuta mchumba wa kuwa na malengo nae na sio wa muda mfupi 2.Kwa aliye tayar anicheck inbox.
hahahaha kweli mkuuKama umeshindwa kupata mchumba mtaani kwenu utaweza humu, wanasema 'charity begins at home'