Hellow,
Naitwa Patrick wa Dar natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo;
Mvumilivu, mpole, mtiifu, mcha mungu, sina ubaguzi wa kabila wala dini, elimu, hata akiwa na mtoto sio mbaya, umri...
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 20-28 awe na shughuli inayomwingizia kipato aliye tayari tuwasiliane pm
Habar za jion wanajukwaa!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ninaishi mwanza! Ninatafuta mwanamke mweny vigezo vifuatavyo
1:Anizid umri kama miaka mitatu na kuendelea
2:Awe mtanzania
3:Awe...
Hakuna kitu kinauma kama umkute X wako kapendeza sana tofauti na ulivyomuacha.
Unamkuta amefanikiwa kinoma. Ukimuangalia unamuona kabisa maisha kashayapatia.
Na pia hakuna raha unapata kama...
Baada ya uchunguzi wa muda mrefu hatimaye nimeweza kugundua haka kamchezo ka members wa JamiiForums kutumia ID mpya pindi wanapotafuta wapenzi je sababu nini yakuja na ID mpya? Joined today na...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Nahitaji mwanamke mwenye matatizo ya kizazi yaani ambaye hawezi kupata mtoto au amabye ana kizazi ila hatarajii...
Mimi nina umri wa miaka 35 na ndiyo niko kwenye Ujasiliamali. Muda wangu sasa wa kuwa na mke naona kuwa ndiyo huu hapa.
Sijawahi kuwa na mwanamke kabla. Hivyo kwa sasa ninamuhitaji niwe naye...
Wakuu,
Katika tafiti zangu za kuangalia jukwaa hili kila siku na thread zinazofunguliwa nimekuja kugundua kuna uwezekano mkubwa wa mwanamke kupata mwenza wake kuliko kwa mwanaume.
Hii ni...
Hamjambo wanaJF,
NIko na rafiki yangu mwanamme toka Mombasa anatafuta mwanamke mwenye yuko serious kuolewa na awe amesoma atleast awe na elimu ya form 4 Kenya ama Form 6 Tz.
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 23-28 awe na shughuli inayomwingizia kipato aliye tayari tuwasiliane pm.
WanaJF,
Hivi kweli nyinyi mnaotafuta wachumba kupitia humu JF uwa mnawapata?
Maana mimi naona sipati japo ninatafuta. Au wanaotafuta wanakuwa wanafanya mzahamzaha wakati sisi tulio serious...
Natafuta rafiki wa kike, tuweze kuongea na kubadilishana naye mawazo wa maswala ya kila siku yanayotokea duniani. Awe kwanzia umri wa miaka 21 na kuendelea.
Kikubwa ni mtu wa kuwa na maongezi...
Mimi nina mke lakini kuna vitu navikosa navihitaji toka nje. Nahitaji mwanamke atakayeelewa kuwa mimi nina mke na atakayeelewa mipaka yetu. Mahusiano yetu yatakuwa ya kimapenzi na kushirikiana...
Hi ladies and gents, boys and girls
Well let me be open
Wapenzi natafuta mpenzi ila awe nje ya africa, my dreams was kuolewa na kuishi nje,
Mwanaume serious umri kuanzia miaka 35 mpka 69,
Ni...
Sifa
- Si zaidi ya miaka 40
- Mkristo, mlokole atapewa kipaumbele
- Awe na kipato halali, anajitegemea.
- Elimu si chini ya form 4
Mimi sina uwezo wa kuzaa na nimejiajiri.
Karibu tufarijiane!
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.