SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 175
Heshima kwenu ndugu zangu.
Natafuta "MKE" sio mwanamke......kwa sababu wanawake wapo wengi lakini ambao wanafaa kuwa "MKE" ni wachache sana. Kuwa mwanamke haimaanishi kuwa wewe unafaa kuwa "MKE" lakini kuna wanawake ambao ni BLESSED BY GOD kuwa "MKE". Hivyo basi kama ndugu yangu moyo wako unakugusa 'from your heart' kuwa you want to be married and have your own happy family, please do not hesitate to contact me via PM.
sifa za "MKE TARAJALI" anayehitajika:-
1. Awe na nia ya dhati ya kuwa married na sio tu kwa sababu shost zake wameolewa.
2. Umri kuanzia miaka 20 hadi 30 tu.
3. Awe dini yeyote ile kikubwa ni dhamira yake
4. Muaminifu na anayejiheshimu, na kuheshimu wengine.
5.Anayejitambua
6. Elimu kuanzia kidato cha sita hadi Master degree na hata PhD bado anakaribishwa ( If you're a Master degree holder or PhD....umri hadi miaka 33 unakaribishwa).
7. If you're a single mother, not more than one kid ....unakaribishwa.
Sifa zangu.
1. Ni mwanaume but sio mwanaume wa DSM....nadhani umenielewa.
2. Najitambua
3.Mkristo wa Roman Catholic.
4. Nina maisha yangu na nayajua maisha.
Kama una lolote unataka tufahamiane zaidi karibu PM.
NB: Wanawake wanaojitambua tu na wenye nia thabiti ya kuwa na maisha mume na kujenga familia yenye furaha na sio bora familia.
ASANTENI.
Natafuta "MKE" sio mwanamke......kwa sababu wanawake wapo wengi lakini ambao wanafaa kuwa "MKE" ni wachache sana. Kuwa mwanamke haimaanishi kuwa wewe unafaa kuwa "MKE" lakini kuna wanawake ambao ni BLESSED BY GOD kuwa "MKE". Hivyo basi kama ndugu yangu moyo wako unakugusa 'from your heart' kuwa you want to be married and have your own happy family, please do not hesitate to contact me via PM.
sifa za "MKE TARAJALI" anayehitajika:-
1. Awe na nia ya dhati ya kuwa married na sio tu kwa sababu shost zake wameolewa.
2. Umri kuanzia miaka 20 hadi 30 tu.
3. Awe dini yeyote ile kikubwa ni dhamira yake
4. Muaminifu na anayejiheshimu, na kuheshimu wengine.
5.Anayejitambua
6. Elimu kuanzia kidato cha sita hadi Master degree na hata PhD bado anakaribishwa ( If you're a Master degree holder or PhD....umri hadi miaka 33 unakaribishwa).
7. If you're a single mother, not more than one kid ....unakaribishwa.
Sifa zangu.
1. Ni mwanaume but sio mwanaume wa DSM....nadhani umenielewa.
2. Najitambua
3.Mkristo wa Roman Catholic.
4. Nina maisha yangu na nayajua maisha.
Kama una lolote unataka tufahamiane zaidi karibu PM.
NB: Wanawake wanaojitambua tu na wenye nia thabiti ya kuwa na maisha mume na kujenga familia yenye furaha na sio bora familia.
ASANTENI.