ngoshaboy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 231
- 193
Ndugu wanajamiiforum heshima kwenu wakuu. mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 natafuta mke mwenye ajira yoyote inayomwingizia kipato ili nishilikiane nae kujikwamua kiuchumi, binafsi nipo hapa mjini huu ni mwaka wa nne na kazi zangu mala nyingi huwa nafanya marketing kwa partime kampuni mbalimbali japo si kazi za kudumu pia.
Pamoja na kufanya kazi hizo kwa mda huo sijajaliwa kupata mke japo sababu sijajua vyema lakini wakati mwingine nahisi huenda ni kwa sababu ya kukosa ajira ya uhakika, nisipende kuwachosha sana na maelezo malefu niishie kulenga mada yangu ningefarijika kupata mke sasa wa kuishi nae japo aweze kunipa tafu ya maisha napenda sana ufugaji na kilimo cha biashara hivyo twaweza anzisha mladi huo naomba kuwasilisha japo matusi na kebehi sipendi kwa mtakaochangia uzi huu.
Nb vigezo awe na umri usiozidi miaka 28 elimu yangu ni form4
Pamoja na kufanya kazi hizo kwa mda huo sijajaliwa kupata mke japo sababu sijajua vyema lakini wakati mwingine nahisi huenda ni kwa sababu ya kukosa ajira ya uhakika, nisipende kuwachosha sana na maelezo malefu niishie kulenga mada yangu ningefarijika kupata mke sasa wa kuishi nae japo aweze kunipa tafu ya maisha napenda sana ufugaji na kilimo cha biashara hivyo twaweza anzisha mladi huo naomba kuwasilisha japo matusi na kebehi sipendi kwa mtakaochangia uzi huu.
Nb vigezo awe na umri usiozidi miaka 28 elimu yangu ni form4