Natafata mke

Natafata mke

dedon

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
1,507
Reaction score
2,072
Mimi ni kijana wa miaka 25 urefu1.8 meter na ni maji ya kunde pia ni mwajiriwa serikalini, natafuta mke wa kuanza nae maisha mwenye umri kati ya miaka 20-25, dini yoyote ile awe mzuri wa kuvutia, pia la muhimu awe mtafutaji either ana kazi au lah as long ana mipango ya kueleweka na maisha yake, mwisho wa yote awe tayari sie wote kuongozana kwenda kupima UKIMWI kabla ya jambo lolote.

Wote mnakarbishwa.
 
naomba kujua utefu wa meta 1.8 ni sawa na urefu wa kitu gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom