Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanaume mwenye 30s nina elimu ya kutosha na hela ya kula siyo tatizo. Natafuta mwanamke mtu mzima awe anajitambua. Awe flexible ninapomhitaji awe tayari. Awe mrembo na awe anaishi mkoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni kijana nina miaka 27 npo Dodoma ni mfanyabiashara wa kawaida natafuta mwanamke wa kweli wa kuoa mwenye mapenz ya kweli maana nmekuwa na wanawake ambao wameumiza sana moyo wangu kwa kipind...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Wakuu, Tunaomba wale ambao waliweka thread ya kutafuta wake, waume na wapenzi humu watuletee mrejesho kama wamefanikiwa na wanaendeleaje.
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24 ndo niko mwaka wa mwisho kati ya vyuo vikuu hapa Tanzania, Nahitaji rafiki wa kike na atakaye kuwa tayari tuanzishe familia kadri MUNGU atakapozidi kutupa uzima...
0 Reactions
0 Replies
626 Views
Mimi ni kijana, 28 yrs of age natafuta mchumba wa kike mwenye umri wa miaka 20-30. Niko Sirari mkoani Mara. Aliye tayari anipm kwa maelezo zaidi
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24 ndo niko mwaka wa mwisho kati ya vyuo vikuu hapa Tanzania, Nahitaji rafiki wa kike na atakaye kuwa tayari tuanzishe familia kadri MUNGU atakapozidi kutupa uzima...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Nina umri wa miaka 27 npo Dodoma n mfanyabiashara natafuta mwanamke wa kuoa mwenye mapenzi ya kweli maana nmekuwa na wanawake ambao hawana mapenzi ya dhati wameniumiza sana kiukwel haijalishi umri...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wasifu wangu; Age 30, Elimu chuo kikuu, kazi - nimeajiriwa, niko Dar, Sifa za mchumba wa kike; Age 22 and above. Sina ubaguzi wa kabila, dini , etc. Cha msingi upendo wa dhati. Njoo PM mchumba...
0 Reactions
1 Replies
646 Views
Habari zenu wanajukwaa, mimi ni kijana kutokea nyanda za juu kusini ni muhitimu wa chuo, moja ya vyuo vikuu hapa nchini, natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu hapo badae umri wangu ni miaka...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mrefu handsome Nina miaka 30 natafuta mwanamke mwenye mapenzi ya dhati na aliye serious kuishi maisha ya ndoa Nina uelewa mpana juu ya tamaduni tofauti duniani kwani nimesafiri...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Sifa zake, awe na miaka 18-22, awe mkristo, awe na heshima, awe msikivu na mwenye kupenda maendeleo. Sifa zangu nina miaka 26, ninajiheshimu, ni mkristo na ninadegree moja aliyetayari anicheck...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni mjane nina watoto 3, nina miaka 43, ni mfanyakazi nina hofu ya Mungu. Nahitaji mume ambaye ana watoto pia awe mcha Mungu na mwenye shughuli halali ya kumuingizia kipato. Umri wake...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Kijana mtanzania,miaka 30,mkristo nahitaji mwanamke ambaye yupo tayari kuolewa,dini yoyote,kabila lolote awe anajishughulisha na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato,mwenye shape,mrefu maji ya kunde.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni kijana,28 yrs of age natafuta mchumba wa kike mwenye umri wa miaka 20-30.Niko sirari mkoani mara. Aliye tayari anipm kwa maelezo zaidi
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Habari zenu wandugu, Natafuta mpenzi awe na umri kuanzia miaka 25 -30 Awe mnene kiasi asiwe mfupi sana. Elimu kuanzia form 4, awe muislamu. Umri wangu ni miaka 30. Nimeajiriwa katika kampuni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni...
6 Reactions
101 Replies
11K Views
Natafuta mke awe mwalimu nurse au mjasiriamali, mimi naishi Dar lakini kwa sasa nipo Kibaha kikazi. Mimi ni mtumishi wa serikali umri miaka 20_28.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwaname mwenye umri wa miaka 45, divorced, mtoto mmoja, mkristo, natafuta mwanamke mwebye umri kuanzia miaka 27 mpaka 40, mwenye sifa zifuatazo: Mkristo, ila asiwe mlokole Elimu kuanzia...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Greetings I once came here to link-up my girlfriend(girlfriend,read it correctly) with someone who might be interested to start a potential relationship with her.It sounded weird to some,but yet...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina miaka 29,nahitaji mchumba mwenye miaka 18-28 na awe anapatikana musoma-mara au mwanza.Aliye tayari anitumie ujumbe pm kwa maelezo zaidi. Niko serious
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom