Nina hamu ya kuolewa ila sipati mtu aliye na utayari

mimadota

Member
Jan 7, 2017
48
108
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daimaKaribu kwa alie pendezewa na mimi.
Poa
 
Una hamu!! Ina maana ulishawahi kuolewa mana huwezi kuwa na hamu ya kitu ambacho hujawahi kukifanya!..
Sema nataka kuolewa alafu punguza vigezo mana 26 uliyotaja ni ya kwako ya kibongo but tukichimba sio chini ya 29 so sema mwanaume yeyote alafu uangalie baraka ya Mungu.
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daimaKaribu kwa alie pendezewa na mimi.
Uko wapi mydear?
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daimaKaribu kwa alie pendezewa na mimi.
Unaishi wap
 
Mkuu habari.

Una hamu ya kuolewa? Jua hamu inaisha lakini..na siku ikiisha utataka uachike.

But nakuombea upate mtu sahihi..

Endelea kuomba mtu sahihi kwako yu njiani.
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daimaKaribu kwa alie pendezewa na mimi.
Ndio maana hauolewi you are too selective.anyway kila raheri
 
Usipanic Dada?,miaka 26 bado sana, endelea kutulia kama huna habari ya kutaka kuolewa, watu wanaolewa na miaka arobain na_ huko, wanazaa na miaka 50.
Tulia tulia tulia. Hakuna umri wa Serikali wa kuolewa. Kuwa mvumilivu ili usije juta baadae
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daimaKaribu kwa alie pendezewa na mimi.
Kila la kheri dada
 
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daimaKaribu kwa alie pendezewa na mimi.
Asante niPM tupeane contact vizuri tuwasiliane tukikubaliana ndoa inafata serious...
 
Kav
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote.

Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea, awe mrefu mweupe au maji ya kunde, Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake, awe mkristo nitampenda na kumlinda daima.

Karibu kwa aliyependezewa na mimi.
Kabila gani ww? Kuna makabila yana gundu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom