Natafuta binti nioe

mchovu wa fikra

JF-Expert Member
Jul 16, 2016
335
393
Habari zenu wana jukwaa,

Nimeanzisha Uzi huu si kwa utani bali ni kwa uhalisia na hisia za moyo wangu baada ya kuwa nimepitia mengi katika mahusiano.

Niliuambia moyo usukume damu ila nimeshindwa hivyo basi naomba msaada toka kwenu ili nimpate mwenza katika maisha yangu. Mimi nina umri wa miaka 28 kwasasa na ni muislam kwa qudra za ALLAH.

NAHITAJI BINTI WA KUMUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO:
Awe muislam au awe tayari kubadili dini.
Awe na umri kati ya 18 mpaka 23 inclusive
Awe anaufahamu wa dini kama ni muislamu.
Awe ni mwenye kihifadhi uchi wake kwa taratibu za kiislamu za kisheria.
Awe mrefu wa kuanzia futi 5.2 au zaidi

NAOMBA USHIRIKIANO WENU, HATA KAMA SIO WEWE BASI YEYOTE UNAYEMFAHAMU UJUMBE HUU MFIKISHIE. NIKO SERIOUS WANAJUKWAA. SITEGEMEI KAMA MTU ATACOMMENT MAMBO AMBAYO YATANIDISCOURAGE.

PLEASE NI PM.

ASANTE USIKU MWEMA
 
Mungu akutimizie hitaji la moyo wako nimekukosa nimepungua inch moja hapo kwenye urefu (kidding)
 
Habari zenu wana jukwaa,

Nimeanzisha Uzi huu si kwa utani bali ni kwa uhalisia na hisia za moyo wangu baada ya kuwa nimepitia mengi katika mahusiano.

Niliuambia moyo usukume damu ila nimeshindwa hivyo basi naomba msaada toka kwenu ili nimpate mwenza katika maisha yangu. Mimi nina umri wa miaka 28 kwasasa na ni muislam kwa qudra za ALLAH.

NAHITAJI BINTI WA KUMUOA MWENYE SIFA ZIFUATAZO:
Awe muislam au awe tayari kubadili dini.
Awe na umri kati ya 18 mpaka 23 inclusive
Awe anaufahamu wa dini kama ni muislamu.
Awe ni mwenye kihifadhi uchi wake kwa taratibu za kiislamu za kisheria.
Awe mrefu wa kuanzia futi 5.2 au zaidi

NAOMBA USHIRIKIANO WENU, HATA KAMA SIO WEWE BASI YEYOTE UNAYEMFAHAMU UJUMBE HUU MFIKISHIE. NIKO SERIOUS WANAJUKWAA. SITEGEMEI KAMA MTU ATACOMMENT MAMBO AMBAYO YATANIDISCOURAGE.

PLEASE NI PM.

ASANTE USIKU MWEMA
s⃜a⃜b⃜u⃜n⃜i⃜i⃜i⃜ z⃜o⃜t⃜e⃜e⃜ h⃜z⃜ w⃜e⃜ u⃜n⃜a⃜h⃜a⃜n⃜g⃜a⃜i⃜k⃜i⃜a⃜ m⃜a⃜d⃜e⃜m⃜ s⃜h⃜a⃜u⃜r⃜i⃜ y⃜k⃜o⃜ u⃜t⃜a⃜c⃜h⃜u⃜n⃜w⃜a⃜a⃜a⃜ m⃜p⃜a⃜k⃜ u⃜k⃜o⃜n⃜d⃜e⃜ w⃜e⃜ k⃜a⃜j⃜i⃜n⃜u⃜n⃜u⃜l⃜i⃜e⃜ t⃜o⃜o⃜o⃜o⃜ k⃜a⃜k⃜p⃜a⃜n⃜d⃜e⃜ k⃜a⃜ m⃜i⃜a⃜ m⃜b⃜i⃜l⃜ u⃜n⃜a⃜t⃜u⃜m⃜i⃜a⃜ m⃜w⃜e⃜z⃜ m⃜z⃜m⃜a⃜ m⃜p⃜a⃜k⃜a⃜ r⃜a⃜h⃜a⃜ k⃜w⃜a⃜n⃜z⃜a⃜ r⃜a⃜h⃜a⃜ p⃜i⃜l⃜ n⃜o⃜ s⃜t⃜r⃜e⃜s⃜s⃜ n⃜a⃜ m⃜a⃜d⃜e⃜m⃜
 
s⃜a⃜b⃜u⃜n⃜i⃜i⃜i⃜ z⃜o⃜t⃜e⃜e⃜ h⃜z⃜ w⃜e⃜ u⃜n⃜a⃜h⃜a⃜n⃜g⃜a⃜i⃜k⃜i⃜a⃜ m⃜a⃜d⃜e⃜m⃜ s⃜h⃜a⃜u⃜r⃜i⃜ y⃜k⃜o⃜ u⃜t⃜a⃜c⃜h⃜u⃜n⃜w⃜a⃜a⃜a⃜ m⃜p⃜a⃜k⃜ u⃜k⃜o⃜n⃜d⃜e⃜ w⃜e⃜ k⃜a⃜j⃜i⃜n⃜u⃜n⃜u⃜l⃜i⃜e⃜ t⃜o⃜o⃜o⃜o⃜ k⃜a⃜k⃜p⃜a⃜n⃜d⃜e⃜ k⃜a⃜ m⃜i⃜a⃜ m⃜b⃜i⃜l⃜ u⃜n⃜a⃜t⃜u⃜m⃜i⃜a⃜ m⃜w⃜e⃜z⃜ m⃜z⃜m⃜a⃜ m⃜p⃜a⃜k⃜a⃜ r⃜a⃜h⃜a⃜ k⃜w⃜a⃜n⃜z⃜a⃜ r⃜a⃜h⃜a⃜ p⃜i⃜l⃜ n⃜o⃜ s⃜t⃜r⃜e⃜s⃜s⃜ n⃜a⃜ m⃜a⃜d⃜e⃜m⃜
Aisee huu ushaur sio mchezo, na wadogo zako unawashaur hvhv?
 
Aisee huu ushaur sio mchezo, na wadogo zako unawashaur hvhv?
s⃜a⃜s⃜a⃜ j⃜e⃜e⃜h⃜ l⃜a⃜z⃜m⃜a⃜ n⃜ w⃜a⃜s⃜h⃜a⃜u⃜r⃜u⃜ h⃜i⃜v⃜ c⃜o⃜z⃜ d⃜u⃜n⃜i⃜a⃜ i⃜m⃜e⃜i⃜s⃜h⃜a⃜ n⃜o⃜w⃜ m⃜a⃜g⃜o⃜n⃜j⃜w⃜a⃜ m⃜e⃜n⃜g⃜i⃜ u⃜k⃜i⃜m⃜w⃜i⃜ n⃜j⃜e⃜ n⃜j⃜e⃜ l⃜a⃜z⃜m⃜a⃜ k⃜d⃜g⃜o⃜ v⃜l⃜a⃜i⃜n⃜i⃜s⃜h⃜i⃜ v⃜i⃜t⃜u⃜m⃜i⃜k⃜e⃜ k⃜w⃜e⃜n⃜y⃜ s⃜w⃜a⃜l⃜a⃜z⃜m⃜a⃜ l⃜a⃜ k⃜u⃜j⃜i⃜k⃜w⃜a⃜m⃜u⃜a⃜ k⃜w⃜e⃜n⃜y⃜ k⃜u⃜b⃜a⃜k⃜a⃜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom