Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe...
Habari za jioni wandugu
Kama lengo kuu la huu uzi linavyojieleza ndicho moyo wangu unachokihitaji kwa dhati na I believe kupitia hapa naweza fanikisha
Mimi ni mwanamke nipo kwenye late 20s...
Habari wana Love connect,
Nina miaka 25, single mother wa mtoto mmoja, nahitaji mpenzi baadae awe mume kama tutakubaliana na kuelewana, ni muislam, shughuli zangu za ujasiliamali, naishi Dar...
Natafuta rafiki wa kubadilishana nae mawazo ila awe mbeya maana na mm niko mbeya,asiwe mlevi pls.
Mi ni mwanaume nna miaka 39, kama uko interested ni pm pls, kama haikuhusu we pita kimyakimya.
Natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo, sex sometime kama ikitokea kila mmoja kavutiwa na mwezie uwe umeoa or hujaoa vyote sawa just a friend uhuru wa kuwasiliana utazingatiwa Ila wawe na...
Mimi ni kijana mwenye mikaa 27, ni Afisa wa Serikali (Maliasili). Elimu yangu ni shahada (BSc Forestry). Binti huyo awe na sifa zifuatazo; awe na miaka isiyozidi 25 na isipungue 22, Elimu yake awe...
Wasalaam Alekyum! , Shalom! na Amani Ya Bwana! Iwe Nanyi Nyote wana JF-Love Connect.
Kwanza kabisa katika uzi huu nataka kuandika kwa kiswahili fasaha kabisa ili kila kiumbe kitambaacho katika...
Habarini ndugu zangu, kaka na dada zangu. Kiuhalisia leo naandika huku nikiwa nimejawa huzuni, majonzi na sononeko kubwa sana moyoni.
Nikitizama umri wangu kwa kweli umeenda na mpaka sasa...
Habari kwa wanajukwaa wa LOVE CONNECT,
Nina uhitaji mkubwa sana wa mchumba. Sio mchumba tu, aje kuwa wife so msaada wakuu.
Mimi ni kijana wa miaka 22, rangi ya Obama, ni mjasiriamali...
Habarini wana jamvi?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni mkulima pia ni mjasiliamali.
Nashukuru mungu hapa nilipo fika ninauwezo wa kuhudumia familia. Mimi ni mkristo nahitaji kuwa na...
Habari za sikukuu ndugu zangu wakuu
Hope Bila Shaka mko poa na ujenzi wa taifa.. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo mimi ni kijana wa miaka 29 ninatafuta mwenza ambaye baadae awe mke wangu...
Silvester Niko dar umri miaka 27, natafuta mpenzi au mchumba awe na miaka 18-27 atokee dar,
Awe na umbo namba 8 mrefu kidogo na mfupi kidogo mwelewa na mkweli. Namba yangu ya simu ni 0714002998.
Habari zenu wana ndugu, mimi ni mdada wa miaka 32 nina mtoto ninatafuta mume, elimu yangu ya chuo, mkristo. Nina tafuta mume wakunioa awe mcha mungu, na awe anajishughulisha/kitu chakumuingizia...
Hi,
As the heading above concern,
I am looking for a beautiful lady who is aged not above 28 years old,Christian,chocolate colour,businesswoman or employed,female figure and tall/moderate...
Hi I've just been divorced after almost three years of separation and now I'm searching for that special someone for building a relationship that may lead to getting married,
I will be 50 yrs old...
Naitwa Richard age 27yrs naishi Dar maeneo ya Tabata, natafuta mwanamke mwenye sifa za kuwa kuja mke na mama wa familia awe mkazi wa Dar es Salaam.
-Dini yeyote
-Elimu yeyote
-Umri usizidi 26...
Nimepitia Uzi kadhaa humu kwenye jukwaa ila nadhani kuna kitu kinakosewa na wanaotangaza kutafuta wachumba au wenzi humu. Mtu anatoa vigezo vya anayemhitaji ila anasahau kuwa genuine characters ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.