Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

clinton gidioni

Senior Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
172
Reaction score
194
Habarini wana jamvi?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni mkulima pia ni mjasiliamali.
Nashukuru mungu hapa nilipo fika ninauwezo wa kuhudumia familia. Mimi ni mkristo nahitaji kuwa na mwanamke naona wakati wa kuwa na familia umefika.
Awe mcha Mungu, anae jiheshimu , awe mchapa kazi,
NAHITAJI MWANAMKE ALIYE SERIOUS NA ANAE ISHI KWA MALENGO.
Kwa alie tayari aje pm.
 
Habarini wana jamvi?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni mkulima pia ni mjasiliamali.
Nashukuru mungu hapa nilipo fika ninauwezo wa kuhudumia familia. Mimi ni mkristo nahitaji kuwa na mwanamke naona wakati wa kuwa na familia umefika.
Awe mcha Mungu, anae jiheshimu , awe mchapa kazi,
NAHITAJI MWANAMKE ALIYE SERIOUS NA ANAE ISHI KWA MALENGO.
Kwa alie tayari aje pm.
0654191006
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom