ndusyepo
Senior Member
- Jul 2, 2013
- 165
- 41
Naitwa Richard age 27yrs naishi Dar maeneo ya Tabata, natafuta mwanamke mwenye sifa za kuwa kuja mke na mama wa familia awe mkazi wa Dar es Salaam.
-Dini yeyote
-Elimu yeyote
-Umri usizidi 26
Na awe na mapenzi ya kweli kama uko tayar please PM
N.B- NIKO SERIOUS JAMANI.
Asanteni.
-Dini yeyote
-Elimu yeyote
-Umri usizidi 26
Na awe na mapenzi ya kweli kama uko tayar please PM
N.B- NIKO SERIOUS JAMANI.
Asanteni.