Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama inavyojieleza ninahitaji muwekezaji makini awekeze pendo katika moyo wangu ili tupate faida pamoja, mimi ni me mfanyakazi niko Dar. Age early 30s. Yeye mfanyakazi awe mtu makini ambae...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Jina langu Khalfani natafu mke wa kuoa kabisa umri 18 hadi 24 Vigezo awe muislam. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wapendwa salamu nyingi sana. Poleni na majukumu na hongereni kwa ufanisi wa kutwa nzima ya leo. Jamani mwenzenu safari yangu bado sijafanikiwa kupata mke japo hivyo pls kwa wadada ambao mpo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta mume mchamungu...miaka 25 hadi 45 buhahah...sichagui dini...hivi mnakumbuka mlivyotunyanyasa Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Anahitajika mke mwenye elimu ya degree na kuendelea aliyetayari kuanzisha familia na awe mcha Mungu wa dini ya kiislam,umri miaka 23-25,umri wang ni miaka 32 ni mtumish wa uma kwa aliye serious...
0 Reactions
4 Replies
866 Views
Wadau habari ya Siku ya Leo.. Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu, mimi ni Kijana kati ya miaka 27 na 30. Naishi mwanza mjini mjini. Wilaya ya ilemela. Nahitaji mpenzi wa kike kwa ajiri ya...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Wadau nahitaji kuoa sasa. Umri umetosha, kazi nimepata sasa nahitaji kuanzisha familia. Nina 28 yrs naomba mdada aliye tayari na serious ani Pm. Nasistiza mwenye nia ya dhati plz sio...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Natafuta jimama kuanzia umri wa miaka 30-65 awe anajiheshimu na mstaarabu alie tayari ani Pm Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari yenu Mm kwa jina naitwa David Denis. Ni graduate enginner . Natafuta mke/mchumba awe chini ya miaka 24. Aliyeko tayari anitafute inbox Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Sifa Age 21 hadi 32 Mrefu, white kidogo awe na umbo namba 8 Awe anafanya kazi muajiriwa au mfanyabiashara Sifa zangu mimi Age 28, mrefu futi 6, chocklet colour sio maji ya kunde sio mweusi...
1 Reactions
72 Replies
8K Views
Habari wana love connect , natafuta marafiki wa kuweza kubadilishana nao mawazo umri umri 28-35 wakaka na wadada karibuni pm.
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Niko seriosy nataka mke wa kuoa, nina miaka 32 kazi yangu mwalimu natafuta mke wa kuoa nimechoka kukaa hivi. Vigezo; 1.Muislam atakae weza kumcha muumba wake kwa kuswali na mambo mengine 2.Umri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar wana jf, Mimi ni mtanzania halisi najitokeza Kwa mara ya kwanza kutafuta mke Wa kuoa. Jina : Deric Mabala Umri wangu : 34 Kabila langu : Mbende Mahali napoishi :Dar es salaam Elimu yangu...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Njoo inbox upesi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
863 Views
Naitwa Baraka umri miaka 27 mkazi wa kitunda hapaDar, nahitaji mpenzi umbo lolote ila asiwe mwembamba sana awe mnene wa wastani na awe mkweli na mwelewa, kwa aliyetayari tutafutane kwa namba hii...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nisaidieni jamani huyu ni mwaminivu au natapeliwa kimapenzi?yaani mpenzi wangu nikiwa Naye kupeana jamboz tukimaliza tu pesa ukimpa 20000 analalamika bila kushukuru na anakwambia kesho unipe tena...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume, nina miaka 31. Ninatafuta Mwanamke wa kuoa. Umri 24 hadi 27, Mkristo. Kama upo serious, ni pm. Kejeli sitaki! NB; Post inawahusu wanawake tu; mwanaume usiandike chochote hapa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 natafuta msichana ambae ni mpweke na mwenye upendo wa kweli anayetafuta utulivu wa nafsi na mwenye tabia ya kupendeza, hofu ya Mungu na...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Hello wanajamvini. Tusaidianeni mawazo wakubwa,mke mwema ni yupi na anatabia gani maana wengi ndiyo wanamapenzi sio tatizo na nijitolee mfano mimi,nna nyota ya kupendwa na wanawake wengi na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za majukumu wana JF, Mimi ni kijana 28 yrs naishi TMK. Natafuta mdada atakae kuwa tayari kunipenda na kutekeleza plan ambazo tutazipanga kama partners. Sifa; Umri miaka 18 hadi 26. Awe...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom