Hey,
Natafuta mdada mzuri yaani sura na tabia mwenye sifa za kuwa mke mwaka huu huu wa 2019.
SIFA ZAKE
Umri usizidi miaka 30,
Mkristo,
Awe mrefu kiasi,
Maji ya kunde/mweupe,
Ameajiriwa au...
Kwanza kabisa ni mshukuru mungu kwa kunipa uzima hadi leo nimekuwa mtu mzima nafikiria kuoa.
Pia shukran za pekee ziende kwa wazazi wangu ambao walionyesha upendo wa dhati tangu nikiwa mdogo hadi...
Wapendwaa Habari zenu?
Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli...
Soma QT na Resittters
Kituo chetu kimekuwa ni kimbilio la waliowengi kupata Elimu ya sekondari walioikosa kwa sababu mbalimbali. Ni miaka mitano sasa tunatoa huduma hii muhimu katika ujenzi wa...
Habairi wana JF, Pasi na Shaka Mwaka ndio unaisha, na kila mtu ni wakati wa kujitathimini mafanikio, kasoro na mapungufu mbalimbali katika kutekeleza mipango aliyojiwekea mwenyewe mwanzoni mwa...
Namtafuta mwanamke awe rafiki wa dhati, mwishowe tufanye maisha pamoja. Awe mrembo, anajiheshimu, amesoma angalau hadi polytechnic ama college. Umri usipite 34, awe mkristo, na asiwe na mtoto...
Nasikitika kuona vijana wengi wa karne hii ni shida ukiwaangalia kwenye mitandao wanaonekana wako vizuri ukikutana naye uso kwa uso mkazungumza mawili matatu unagundua ni zilo maana ya mitandao ni...
Hello wakaka na wadada…
leo naweka assumption...prove me wrong
Ukiona umeweka tangazo lako la kutafuta mume au mke
wale wanaokujia na 'kila la kheri'
ni singletons..!!!
Either,wanataka uwa...
Ndugu wanajukwaa, Habarini za usiku.
Nyakati za sasa kumekuwa na changamoto kubwa kimahusiano, kwa mtizamo wangu ni kutokana na kuwa na matamanio ya kimahusiano au vitu na kuacha misingi ya asili...
Mimi nikijana Nina umrii wa miaka 27 naitajia mwanmke mzr mwenye kujua mapenzi tupeana rahaaa tu umri wowote ila ajiamin tu naishi dms napia nimejaliwa bonge la naniliuu kwahiyoo ukinitafut...
Natafuta mchumba wakuoa.
Vigezo.
Awe chin ya miaka 24.
Awe amepata O level angalau C ya mathematics
Dini awe mkristo.
Aliye tayari aje PM tutongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.