natafuta mwanamke .wa kuondoa upweke
Lonely I'm so lonely
I have nobody
To call my own
I'm so lonely, I'm Mr. Lonely
I have nobody
To call my own
I'm so lonely
Enyi wanawake/wasichana wenye tatizo la kutofikishwa katika mapenzi au kileleni njooni Pm kwa msaada zaidi angalizo usiri katika mapenzi na kuwa mwoga kueleza tatizo ndiyo kuzidi kukuza tatizo...
Hello naitwa wanajamvini pls natafuta mchumba ambae soon atakuwa mume awe kuanzia miaka 35 na kuendelea, awe mkristo na awe tayari kupima. Akiwa na mtoto asizidi mmoja mm Niko mbeya. Sichagui...
Aseeh kuna maswali huwa sisi wanaume tukiulizwa yanaleta utata na endapo ikitokea umejibu kijinga basi ndo unakosa kila kitu
Hembu tupeane uzoefu jins ya kujibu haya maswali...
1.UMETOA WAPI...
NATAFUTA MKE MWENYE SIFA HIZI:
1. MKRISTO SAFI ALIYEOKOKA
2.UMRI 28-40
3.KIPATO CHA KAWAIDA, HATA KAMA HANA KAZI SITASHINDWA KUMLISHA NA KUMVISHA, KIPATO CHANGU NI KAWAIDA ILA KINATOSHA KUENDESHA...
Habari za asubuhi wana JF?
Awali ya yote, nimetanguliza salamu kwenu nikiwa na matumaini kuwa mko vizuri. Katika chapisho hili, nimependa kutoa hitaji langu kwenu kuwa kupitia jukwaa hili...
Habari wadada'
Mimi nipo hapa JF miaka mingi saana......na nimegundua kuwa hapa ni sahihi kwa watu sahihi!
Nisiandike saana mm ni mwaume wa miaka 32 sasa najitambua nafanya kazi na naendesha...
Mimi nina 30 umri nipo mbeya nimeajiriwa sirikalini lakini pia nimejiajiri mwenyewe.
Nahitaji mke mwenye umri kuanzia 23 mpaka 27 awe mrefu wa wastani kabila lolote..dini yoyote naomba awe...
Salaam, moja kwa moja kwenye point nahitaji mwanamke mwenye umri 30 - 60 kwa ajili ya uhusiano wanawake wenye umri chini ya hapo nyie mko vizuri na mnapendeza ila kwa muktadha wa hitaji langu nyie...
Jamani kwa nini wanawake wa madereva wa malori hawatulii kuna jamaa yangu huwa anasafiri Zambia sasa siku moja alimuaga mke wake kuwa anasafiri lakini hapo nyumbani kuna mwanaume anakuja nyumbani...
habari wadau nahitaji mwanamke wa kubadilishana nae mawazo. Awe anajitambua awe na shughuli ya kufanya ikiwa anajitegemea kimaisha itakuwa vizuri zaidi.
Maelezo kuhusu mm ni vyema kama takuja pm...
Natafuta mpenzi [MWANAMKE]awe na umri wowote ule kwani mapenzi ayaangalii umri wa mtu nachoitaji ni upendo wa dhati mimi umri wangu 22yrs kwa aliyetayari my contact 0621850715 ipo hewani mda wote
Helloo..!!naitwa Bilal ni mkazi wa Arusha,Umri wangu ni miaka 25. Natafuta mchumba kuanzia miaka 21 - 24. Sifa awe mwaminif na mwenye mapenzi ya kweli. Pia awe tayari kupima VVU. kwa aliyetayari...
Kwanza kabisa shukarani ziwafikie wote wana JF, Nahitaji mchumba ambaye atakuwa mke miaka 2-3 ijayo.
Sifa zangu
>Umri 22 miaka
>Rangi Mweusi
>Kabila mkurya
>Elimu utaijua PM
>Usafi ulinishinda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.