Nahitaji rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo

gwidoti

Senior Member
Nov 6, 2016
142
172
Mimi ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work we me au ke ni sawa but story za apa na pale .msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nikirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla

NB:sitafuti mwenza apa ni rafiki tu.
 
bado kidogo utaanza kuwanga according to mshana Jr

What you don't know is what will get you killed.
 
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
Usipate shida njoo PM chap.

Mwanza!!
 
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
Uliyegoma kupenda kama mie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.
Umekuwa mhanga wa nini dada emu ungeelezea vzr ili watu wakufariji na kukupa mawazo mazuri ya nn ufanye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipm kama hautajari
Mimi Ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work...awe me au ke ni sawa but story za apa na pale...msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nkirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa..najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:SITAFUTI MWENZA APA NI RAFIKI TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom