gwidoti
Senior Member
- Nov 6, 2016
- 142
- 172
Mimi ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work we me au ke ni sawa but story za apa na pale .msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nikirudi kazini nakosa wa kuongea nae kabisa,most of my friends wana watu wao but mimi muhanga nimeshindwa kuwa na mtu kabisa najaribu kuji keep busy kwenye mitandao lakini wapiii kuna muda najikuta nakuwa mpweke ghafla
NB:sitafuti mwenza apa ni rafiki tu.
NB:sitafuti mwenza apa ni rafiki tu.