Natafuta rafiki wa kiume

Bazazi yupo tayari. Bahati mbaya anaishi Kusini matakoni mwa Tanzania karibu na Daraja la Umoja (Mtambaswala). Tafadhali nikaribishe kubadilishane mawazO
 
Habari zenu wanajamvi

Natafuta rafiki wa kiume kwa ajiri ya kubadilishana mawazo mbali mbali niko mpweke sana na nina mawazo lukuki. rafik nimtakae awe na mika 26 na kuendelea awe ameo au hajao anakaribishwa kwan me namuhitaji kwaajiri ya urafik na sio mahusiano. Akitokea pande za kaskazin itapendeza zaidi.

Ahsanten
Usijari yataisha tu, usivunjike moyo, pambana,
Kuendelea kupata maneno kama haya tafadhali ni pm
 
Habari zenu wanajamvi

Natafuta rafiki wa kiume kwa ajiri ya kubadilishana mawazo mbali mbali niko mpweke sana na nina mawazo lukuki. rafik nimtakae awe na mika 26 na kuendelea awe ameo au hajao anakaribishwa kwan me namuhitaji kwaajiri ya urafik na sio mahusiano. Akitokea pande za kaskazin itapendeza zaidi.

Ahsanten
una mawazo gani hayo lukuki?
 
Habari zenu wanajamvi

Natafuta rafiki wa kiume kwa ajiri ya kubadilishana mawazo mbali mbali niko mpweke sana na nina mawazo lukuki. rafik nimtakae awe na mika 26 na kuendelea awe ameo au hajao anakaribishwa kwan me namuhitaji kwaajiri ya urafik na sio mahusiano. Akitokea pande za kaskazin itapendeza zaidi.

Ahsanten
Karibu sana, umenipata dada
 
Karibu sana, naamini hautakuwa mpweke. PM me.
Habari zenu wanajamvi

Natafuta rafiki wa kiume kwa ajiri ya kubadilishana mawazo mbali mbali niko mpweke sana na nina mawazo lukuki. rafik nimtakae awe na mika 26 na kuendelea awe ameo au hajao anakaribishwa kwan me namuhitaji kwaajiri ya urafik na sio mahusiano. Akitokea pande za kaskazin itapendeza zaidi.

Ahsanten
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom