Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Sina Mwanamke yeyote wa kunitoa upweke....,,simaanishi kwamba siwezi pata huku nilipo no.tatizo ubize tu wa hapa na pale ndo unanifanya nafasi hiyo niikose,,,,Aliyetayari naomba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahitaji msichana mrefu rangi yeyote na kabila lolote anayejitambua ambaye atakuwa mke wangu kama ataridhika na mimi, umri usizidi miaka 27, awe amesoma hata kama ameishia kidato cha 6 na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello ......Mambo zenu umu Mwanaume mtanashati,mrefu kama mm mcha Mungu wa bata kiasi sio sana . Sio lazima awe na gari ila awe mwanaume modern kiasi.. Mchapakazi popote Tanzania sio lazima dar...
7 Reactions
89 Replies
12K Views
Habari zenu humu! Msichana umri miaka 28-35 anahitajika kwa ajili ya ndoa. Awe mkristo, elimu ya chini kuanzia kidato cha sita, awe msichana mzuri kitabia na muonekano. Ambaye yupo tayari kuolewa...
6 Reactions
66 Replies
5K Views
Habari za mihangaiko wananzengo wa jamii forum hasa kwenye jukwaa la "Love connect". Mimi nimekuwa mdau na msomaji wa maada tofauti tofauti kwa mda mrefu sasa tangu naifahamu jamii forum mwaka...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni kijana miaka 25 nahitaji mwanamke tuwe kwenye unyumba baadaye, sasa iwe ni kuishi urafiki tu. Nina project nafanya ningependa anijoin kama yuko na muda au hana lakufanya kwa sasa, au kama...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Mimi Ni mtanzania , umri wangu ni miaka 31 najitokeza kwenu kutafuta mke kwa aliyetayari tuwasiliane , Mimi Ni mtumishi , sichagui dini kabila ,rangi ila umri wake usizidi miaka 27.aliye serious...
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Heri ya mwaka mpya nyote humu. Baada ya kuwa single takribani mwaka mzima 2018, katika kuingia mwaka 2019, sitaki kuwa single tena hivyo nimeona ni heri nitafute mchumba ambaye baadae atakuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za saa hizi. Kwanza kabisa nikiri kuwa nishawahi kuja humu kutafuta kimwana ila ndo hivo mambo hayakuwa sawa. Kwanza kabisa nikiri kuwa nilipata kimwana ila hakuwa serious kabisaaa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za majukumu ndugu. Nina Rafiki yangu Ameniambia nitamfutie mke Nimetafuta mtaani hapa Nimekosa Nimeamua kuleta Tangazo humu MMU. Sifa za mwanamke Elimu Darasa la saba mpaka form 4...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Sifa zangu Miaka 29 Mwajiriwa na nimejiajiri pia Ni mweupe rangi Mrefu wa kati Nipo kanda ya ziwa Awe na sifa Miaka 20-30 Mwenye kazi au asiwe na kazi Sawa Kimo chochote Rangi yoyote Awe mwelewa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”? Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo. 1. Awe muelewa...
4 Reactions
58 Replies
5K Views
Natafuta msichana Age 23-26 ambaye nitaweza kua nae katika mahusiano na badae ndoa niko dodoma akiwa maeneo hayo ni vizuri zaidi njoo PM tuyajenge Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
968 Views
Nipo mwanza, nilikutana na demu toka moshi, kama kawaida mtoto wa mjini nilimtokea akatiki nikiwa na lengo LA kubomoa na kuacha, kumbe mtoto kaelewa mikito kaning'ang'ania humwambii kitu kuhusu...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hiyo ni kauli yangu kwenda kwa binti fulani ambaye by the time alinikataa na kuniona si kitu. Leo hii baada ya miaka mitano anakuja tena kwa speed ya rocket," eti Uno mi nakupenda for really"...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Nipo Mwanza nimejiajiri, natafuta msichana tupunguziane ukali wa maisha umri miaka 18-24 Dini yeoyote awa anajishughulisha na chochote kitakachotuwezesha tuwe tunasaidiana katika maisha. Mimi ni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kumradhi!!!!! Siku zote huwa natamani kuwa na mwanamke/Msichana mwenye elimu ya juu Degree/PHD au msichana wa kishua,mwanamke mwenye pesa kama zote kama Mrembo wa Ben Pol. The dreams comes true.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba nikiri kwamba mi ni kijana wa miaka 29,sijaoa nahitaji mwanamke mwenye kuhitaji kuolewa,kama atakuwa muislamu itafaa zaid,sichagui kabila,umri niutakao asizid miaka 35,huduma zote za msing...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mwanaume umri kuanzia miaka 30 Awe na kazi Awe anamcha MUNGU Asiwe mswahili swahili Sent using Jamii Forums mobile app
5 Reactions
64 Replies
7K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28 natafuta mpenzi alie siliasi katika mahusiano ili baadae tukijilizisha wote wawili tufunge ndoa nipo atakae...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom