Mi ni mwanamume wa miaka 26 nahitaji,mchumba wa miaka 18-24, awe mcha mungu,mkristo asiwe mchagaa,mzaramo,mnyamwezi,muhaya ila tofauti na hao nawapenda wote awe na mapenzi ya dhati,awe...
Mu wazima nyote?
Niende straight to point: Awe na miaka kuanzia 18-25, sitojali dini,rangi wala kabila.
NB: Nataka wa kuzaa nae tu sina time na kuoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anahtajika mdada aliye mpweke kwa ajili ya kampani...awe mchangamfu, mwenye nafasi na muda wa kusafiri hapa na pale... hakuna masharti mengine yoyote...Karibu
Nina umri wa miaka 27, nipo dar, nina elimu ya chuo ngazi ya bachelor, natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo,
awe muislam
awe muaminifu
awe na umri wa miaka 18-27
awe anaishi dar
awe na...
Habari jf member,maelezo yanajitosheleza,pia na mengine mengi ni pm nitakusaidiaa tiba asili zaidi natoa hakuna utapel wala ujanja nipo around handeni tanga karibuni
Mimi ni kijana wa miaka 30. Nimemaliza elimu ya chuo kikuu miaka Saba iliyopita, kwa sasa nimejiajiri na nina biashara zangu. Ninaishi mkoa wa Kilimanjaro. Mwanamke ninayemtaka awe,
@ umri wowote...
Those who love are best able to understand.
Those who understand are best able to love.
.
Where there is love, there is understanding.
Where there is understanding, there is love.
.
Love needs the...
Hey,
Natafuta mke alietayali kutengeneza familia mwaka huu 2019 kuanzia leo jan 26-hadi mungu atakapotuita.
SIFA ZAKE
1. awe mkweli
2. asiwe mzuri sana
3.awe maji ya kunde/ mweupe kias
4.kama...
Niaje?? E bwana weee wife kasafiri ana kama wiki na nusu hivii tangu asafiri sasa mzee baba anataka papuch yake mpaka shidaaa!! Naweza kutembea barabarani ukiona mwanamke kakaa vibayaa basi tayari...
Asallam aliykum wadau wana JF leo nawaletea huu UZI zipo kauli au hulka ya baadhi ya watu wakidai ya kuwa ni udhaifu hasa kwa mwanaume kutongoza msichana kutoka ktk mitandao ya kijamii na wapo...
Mimi ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work we me au ke ni sawa but story za apa na pale .msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nikirudi kazini nakosa wa kuongea nae...
Habrinii WanaJF
Refer to the heading above
Mimi ni kijana wa miaka 28 single up to this time, Napambana na hali yangu maisha sioo mabaya employed and entrepreneur
Sifa za mtarajiwa
1. Kitu...
Eti kila mdada akija kutafuta mchumba utasikia anatangaza sifa za bwana amtakae. Awe mcha Mungu, sijui mrefu mara mfupi, mweupe au mweusi n.k, kinachoniuzi mimi kwenye umri tu. Utasikia awe 28 -...
Kwajina naitwa Yusuph Omary Mlima miaka 28 nyumbani Morogoro khonda mafisa ila kwa sasa niko chalize mkoani Pwan kikaz natafuta mchumba umri 20-27 asiwe mnene wala mwembamba sana awe anajiheshimu...
Mimi ni mwanaume wa miaka 26 muislam ninaishi Dar, mweupe mrefu mwenye mwili kidogo natafuta mpenzi mwanamke mzuri (sio uzuri wa muonekano tu, na uzuri kutoka rohoni) anaye ishi Dar
Au mkoa...
habari za wakati huu wana jukwaa pendwa,kama heading inavyosemeka hapo juu,
sifa zangu
maji ya kunde
sio mnene wala mwembamba
nina kipato cha wastani kama laki nne hivi
nimepanga chumba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.