Nahitaji binti awe tayari kuwa rafiki yangu ili kwanza tufamiane kwa kina na kama mbeleni tutapendezana then twaweza kuwa wachumba.
MUHIMU:
-kwa wale wadada wasiokuwa na nia ya mapenzi ya kweli...
Kila mda Ni Kama 2025 na Mpenzi wa kweli,kila Mda awe na Mimi,Na kila sehemu yapo Mengi ila nianakotaka niende ananilinda nisiibiwe na vichomi wa mwiba wangu.Je nahisi kuchapiwa?Na Mda Sasa...
Hello humu ndani,ndugu yangu wa Kike anatafuta mume kuanzia miaka 36 - 45 awe mkristo na ikiwa yuko Mwanza itakuwa ni vzr zaidi,maana yeye yuko mwanza.Umri wake ni 36,kabila msukuma,ni...
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,
Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari...
hello wana MMU,
ni matumaini yangu kuwa mu wazima. Nakuja apa jukwaani kutafuta mwanamke wa kuoa,
umri ni kuanzia miaka 18 hadi 27.
kwa aliye tayar njoo Pm
nawasilisha
1. Watu wanaigiza uhalisia
Katika eneo ambalo watu wanaigiza uhalisia wa maisha kwa kiasi kikubwa ni kwenye mitandao ya kutafuta wapenzi pamoja na mitandao ya kijamii.
Watu huweka picha ambazo...
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM
Karibuni Sana
Habari za kutwa wapendwa?
Natafuta mke awe tayari kuishi pamoja mimi ni mkristo pia ni mjasiliamali sio lazima mwanamke awe na kazi KWANI NINA UWEZO WA KUKIDHI MAHITAJI YA FAMILIA.
umri wangu 25...
Umri wang Miaka 33 natafuta mchumba lazima atoke Morogoro.Awe na elimu walau kidato cha nne.Awe mrefu sijali rangi,asiwe mfupi na awe anajiheshimu.Wassap no 0654 501724
Heri ya Xmass wadau wa JF....
SWALI: Sasa mimi nauliza kwa nini wasichana wengi wanapenda wanaume wenye pesa hata kama wana uwezo wa kupata pesa pia. Kwa nini wasijiamini nao kama wanaume na...
Oh..
I feel like i've been locked up tight
For a century of lonely nights
Waiting for someone to release me
You licking your lips and blowing
Kisses my way
But that don't mean i'm
gonna give it...
Habari za kutwa wapendwa?
Natafuta mke awe tayari kuishi pamoja mimi ni mkristo pia ni mjasiliamali sio lazima mwanamke awe na kazi KWANI NINA UWEZO WA KUKIDHI MAHITAJI YA FAMILIA.
umri wangu 25...
Mda si mrefu mtapata aka anko wana jf lakini kabla sijaoa nilikuwa nasikia mwanamke akiwa mjamzito huwa anamchukia sana mwanamume aliyempa mimba inafika kipindi hataki ata kumuona.
Lakini huyu...
Looking for an ambitious wife
Educated,Independent,Ambitious,Outgoing,Disciplined,Living in Dar es Salaam
About me:
Uneducated,non-independent,non-ambitious,undisciplined,poly-amorous, Living...
Nahitaji mwanamke wa kuoa mwenye sifa za kuwa mke.
Sifa zangu:
Umri 28
Dini mkristo
Mengine pm
Sifa za nimtakaye:
Awe chini ya umri wangu .
Sichagui dini.
Awe anajitambua .
Kwa aliye tiyari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.