Habari za saa hizi.
Kwanza kabisa nikiri kuwa nishawahi kuja humu kutafuta kimwana ila ndo hivo mambo hayakuwa sawa. Kwanza kabisa nikiri kuwa nilipata kimwana ila hakuwa serious kabisaaa...
Eti mtu tumewasiliana vizuri tu na kwa amani yote kuwa sawa basi tukutane. Siku ya kukutana nikachomeshwa mahindi, mara ya kwanza, mara ya pili na mara ya tatu. Kwahiyo jamani vimwana wote ukija PM uwe serious.
Vigezo vyangu ni vile vile. (Kama thread iliotangulia).
Sichagui dini wala kabila.
Am at very late twenty.
Elimu yangu ni diploma.
Nahitaji mwanamke ambae yuko Dar ili kuonana isichukue mda mrefu.
Mtu serious anahitajika nasisitiza.
Kwanza kabisa nikiri kuwa nishawahi kuja humu kutafuta kimwana ila ndo hivo mambo hayakuwa sawa. Kwanza kabisa nikiri kuwa nilipata kimwana ila hakuwa serious kabisaaa...
Eti mtu tumewasiliana vizuri tu na kwa amani yote kuwa sawa basi tukutane. Siku ya kukutana nikachomeshwa mahindi, mara ya kwanza, mara ya pili na mara ya tatu. Kwahiyo jamani vimwana wote ukija PM uwe serious.
Vigezo vyangu ni vile vile. (Kama thread iliotangulia).
Sichagui dini wala kabila.
Am at very late twenty.
Elimu yangu ni diploma.
Nahitaji mwanamke ambae yuko Dar ili kuonana isichukue mda mrefu.
Mtu serious anahitajika nasisitiza.