Wakuu,
Mko wapi? Naona shahidi amepata kigugumizi huku. Alichoandika kwenye maelezo ya polisi na kile ambacho amejibu hapo kwenye kizimba cha siri ni vitu viwili tofauti.
Soma Pia:
Shahidi wa...
TUNATAKA KAZI ZA SERIKALI ZIFANYIKE MAKAO MAKUU YA NCHI-DKT. MWIGULU.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma...
Kesi bandia ya uhaini dhidi ya Tundu Lisu imezidi kuweka wazi unafiki, ushetani na ujinga wa mawakili wa Serikali, jeshi la polisi na wale wendawazimu waandaaji wa kesi za mchongo.
Tumeshuhudia...
Hii ni Baada ya pingamizi lake kukubaliwa n.a. kusababisha Mawakili wa serikali kukimbia
Bila shaka Jaji hatakuwi n.a. la kufanya Bali kumuachia huru Tundu Lissu
Hatimaye Shetani ameshindwa
Ndugu zangu,
Kuna maelekezo hapa kutoka kwa Naibu Waziri. REA na TANESCO ujumbe uwafikie popote mlipo
======
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania...
Kutumia mbinu za kijima yaani mkono wa chuma Kwa kizazi kipya ni ku expose uzembe wa idara ya taifa husika katika kusoma alama za nyakati plus mahitaji ya kizazi husika!
Tambiko hubadilika...
Baada ya mbinu zote kushindwa na miti yote kuteleza, na Mwisho ushuhuda wa "Paskali" kukataliwa ambao ungeisogeza sogeza kesi na kutumika kama mwamvuli wa kumkinga na Jua au mvua mshukiwa wa aicc...
Kume kuwa na kauli mbali mbali zanazotolewa na wana siasa hususan wa chichiemu ambazo zina chochea uvunjifu wa Amani na ni kinyume cha sheria, lakini hakuna hatua zinazo chukuliwa dhidi. Yao...
Hamjambo!
Mara ya mwisho Agustino Polepole alituaga na Kauli tata, za kibabe, mikwala kama yote. Lakini pia mikwala yake ilijaa msisimko wa kihisia. Maumivu ya kisaikolojia ambapo ingekuwa ngumu...
Jana Lissu alimwambia Katanga asimfundishe sheria.
Jaji Ndunguru anasema,
Mahakama imeona hoja inayopaswa kuamuliwa ni je notice hiyo ipo kwa mujibu wa sheria?
Ili kurahisisha Mahakama imeona...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kimetangaza kuwa Umoja wa Mataifa kupitia Kikundi Kazi chake kimetoa uamuzi unaoitaka Tanzania kumuachia huru mara moja na...
Kizimkazi ametoa mamlaka yote kwa mtoto kuendesha Tanganyika, yeye akiwa zanzibar.
Ikitokea minong’ono, wanaandaa tukio, anakuja bara, alafu uyo anarudi zake.
Tanganyika ilimkosea nini Mkwere...
MWIGULU na HAKI ya PAPO kwa PAPO au HAKI FASTA
Katikati ya mkwamo wetu, Waziri Mkuu Mwigulu Mchemba ameibuka na njia mpya iliyokuwapo zamani. Ni Njia ya HAKI YA PAPO KWA PAPO au HAKI FASTA...
Hawa jamaa hawabadiliki kabisa, hawana maboresho ya vifurushi kabisa vya intanet kama wanavyofanya wenzao
Wanawauzia wateja GB 2 kwa Tsh 5000 halafu ni shirika la umma, halafu linaongozwa kwa...
Aliyekuwa mwenyekiti wa uchaguzi huo, Said Miraji akitangaza matokeo leo Februari 22, 2026.
Wajumbe wa mkutano mkuu wa dharura wa Chama cha Wananchi (CUF) wamemchagua Mirambo Camil Yusuf kuwa...
What entails to be a socila contract in Tanzania ni ibara ya 8 (1)(a) ya katiba ya JMT.
Hapa ndipo wanaanchi kwa kutumia kura zao huweka serikali madarakani kwa manufaa yao.
Mtawala.anayedhania...