Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,844
- 90,300
Hamjambo!
Mara ya mwisho Agustino Polepole alituaga na Kauli tata, za kibabe, mikwala kama yote. Lakini pia mikwala yake ilijaa msisimko wa kihisia. Maumivu ya kisaikolojia ambapo ingekuwa ngumu kutabiri ukweli wa kile anachokizungumza.
Alitoa vitisho vikali ambavyo hata kwa jemadari yeyote angeshtushwa na kuingia ubaridi.
Kwani kiusalama huwezi kumu-understimate adui yako hata kama angekuwa mdogo kama kipepeo.
Kauli tishio zaidi ambayo iliniogopesha mpaka mimi ni pale aliposema hataonekana tena isipokuwa kwa dharura maalum. Ukimya wake ulileta mchanganyiko wa hofu kwa adui zake, na tumaini Kwa wanaomsapoti.
Hata hivyo wapo waliokuwa wanaulizia mbona kimya. Na muda umepita.
Juzi jamaa kajitokeza tena.
Kaongea aliyoongea.
Swali kwangu najiuliza; Kwa nini ajitokeze wakati huu?
Anampango wowote?
Au anajaribu kuhuisha agano na kiapo chake kwa adui zake?
Au anajaribu kuchafua Hali ya hewa na kuwafanya adui zake wasiishi kwa Amani, yaani kuwakumbusha bado yupo? Kwamba anacheza psychological Warfare
Kiintelejensia anajaribu kutoa dalili au ishara au kutuma ujumbe gani uliojificha?
Bado sielewi ni mantiki ipi imfanye ajitokeze. Yaani anadharura ipi? Maana alisema hata tokea tena na akitokea basi ni bahati na kwa dharura.
Au tuchukulie ni amejitokeza tuu baada ya kumkumbuka ndugu yake. So mihemko na hasira vikamfanya ajitokeze azungumze kujituliza moyo wake?
Wataalam mkuje hapa. Tuchambue.
TaikonMaster.
Kwa sasa Book Basihaya, Dsm
Mara ya mwisho Agustino Polepole alituaga na Kauli tata, za kibabe, mikwala kama yote. Lakini pia mikwala yake ilijaa msisimko wa kihisia. Maumivu ya kisaikolojia ambapo ingekuwa ngumu kutabiri ukweli wa kile anachokizungumza.
Alitoa vitisho vikali ambavyo hata kwa jemadari yeyote angeshtushwa na kuingia ubaridi.
Kwani kiusalama huwezi kumu-understimate adui yako hata kama angekuwa mdogo kama kipepeo.
Kauli tishio zaidi ambayo iliniogopesha mpaka mimi ni pale aliposema hataonekana tena isipokuwa kwa dharura maalum. Ukimya wake ulileta mchanganyiko wa hofu kwa adui zake, na tumaini Kwa wanaomsapoti.
Hata hivyo wapo waliokuwa wanaulizia mbona kimya. Na muda umepita.
Juzi jamaa kajitokeza tena.
Kaongea aliyoongea.
Swali kwangu najiuliza; Kwa nini ajitokeze wakati huu?
Anampango wowote?
Au anajaribu kuhuisha agano na kiapo chake kwa adui zake?
Au anajaribu kuchafua Hali ya hewa na kuwafanya adui zake wasiishi kwa Amani, yaani kuwakumbusha bado yupo? Kwamba anacheza psychological Warfare
Kiintelejensia anajaribu kutoa dalili au ishara au kutuma ujumbe gani uliojificha?
Bado sielewi ni mantiki ipi imfanye ajitokeze. Yaani anadharura ipi? Maana alisema hata tokea tena na akitokea basi ni bahati na kwa dharura.
Au tuchukulie ni amejitokeza tuu baada ya kumkumbuka ndugu yake. So mihemko na hasira vikamfanya ajitokeze azungumze kujituliza moyo wake?
Wataalam mkuje hapa. Tuchambue.
TaikonMaster.
Kwa sasa Book Basihaya, Dsm