Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Mko wapi? Naona shahidi amepata kigugumizi huku. Alichoandika kwenye maelezo ya polisi na kile ambacho amejibu hapo kwenye kizimba cha siri ni vitu viwili tofauti. Soma Pia: Shahidi wa...
6 Reactions
22 Replies
629 Views
TUNATAKA KAZI ZA SERIKALI ZIFANYIKE MAKAO MAKUU YA NCHI-DKT. MWIGULU. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma...
0 Reactions
1 Replies
130 Views
Kesi bandia ya uhaini dhidi ya Tundu Lisu imezidi kuweka wazi unafiki, ushetani na ujinga wa mawakili wa Serikali, jeshi la polisi na wale wendawazimu waandaaji wa kesi za mchongo. Tumeshuhudia...
5 Reactions
15 Replies
318 Views
  • Redirect
Hii ni Baada ya pingamizi lake kukubaliwa n.a. kusababisha Mawakili wa serikali kukimbia Bila shaka Jaji hatakuwi n.a. la kufanya Bali kumuachia huru Tundu Lissu Hatimaye Shetani ameshindwa
6 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu, Kuna maelekezo hapa kutoka kwa Naibu Waziri. REA na TANESCO ujumbe uwafikie popote mlipo ====== Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Kutumia mbinu za kijima yaani mkono wa chuma Kwa kizazi kipya ni ku expose uzembe wa idara ya taifa husika katika kusoma alama za nyakati plus mahitaji ya kizazi husika! Tambiko hubadilika...
2 Reactions
1 Replies
87 Views
  • Redirect
Baada ya mbinu zote kushindwa na miti yote kuteleza, na Mwisho ushuhuda wa "Paskali" kukataliwa ambao ungeisogeza sogeza kesi na kutumika kama mwamvuli wa kumkinga na Jua au mvua mshukiwa wa aicc...
8 Reactions
Replies
Views
Kume kuwa na kauli mbali mbali zanazotolewa na wana siasa hususan wa chichiemu ambazo zina chochea uvunjifu wa Amani na ni kinyume cha sheria, lakini hakuna hatua zinazo chukuliwa dhidi. Yao...
0 Reactions
3 Replies
104 Views
Hamjambo! Mara ya mwisho Agustino Polepole alituaga na Kauli tata, za kibabe, mikwala kama yote. Lakini pia mikwala yake ilijaa msisimko wa kihisia. Maumivu ya kisaikolojia ambapo ingekuwa ngumu...
3 Reactions
22 Replies
593 Views
  • Redirect
Jana Lissu alimwambia Katanga asimfundishe sheria. Jaji Ndunguru anasema, Mahakama imeona hoja inayopaswa kuamuliwa ni je notice hiyo ipo kwa mujibu wa sheria? Ili kurahisisha Mahakama imeona...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kimetangaza kuwa Umoja wa Mataifa kupitia Kikundi Kazi chake kimetoa uamuzi unaoitaka Tanzania kumuachia huru mara moja na...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kizimkazi ametoa mamlaka yote kwa mtoto kuendesha Tanganyika, yeye akiwa zanzibar. Ikitokea minong’ono, wanaandaa tukio, anakuja bara, alafu uyo anarudi zake. Tanganyika ilimkosea nini Mkwere...
6 Reactions
Replies
Views
MWIGULU na HAKI ya PAPO kwa PAPO au HAKI FASTA Katikati ya mkwamo wetu, Waziri Mkuu Mwigulu Mchemba ameibuka na njia mpya iliyokuwapo zamani. Ni Njia ya HAKI YA PAPO KWA PAPO au HAKI FASTA...
6 Reactions
21 Replies
453 Views
Hawa jamaa hawabadiliki kabisa, hawana maboresho ya vifurushi kabisa vya intanet kama wanavyofanya wenzao Wanawauzia wateja GB 2 kwa Tsh 5000 halafu ni shirika la umma, halafu linaongozwa kwa...
3 Reactions
15 Replies
187 Views
Ndicho kilichotokea katika inchi ya kusadikika sasa hivi watu wanajipigia tu wanavyotaka
8 Reactions
10 Replies
256 Views
Aliyekuwa mwenyekiti wa uchaguzi huo, Said Miraji akitangaza matokeo leo Februari 22, 2026. Wajumbe wa mkutano mkuu wa dharura wa Chama cha Wananchi (CUF) wamemchagua Mirambo Camil Yusuf kuwa...
4 Reactions
25 Replies
625 Views
Kila mmoja atumie njia anayoweza kuikomboa TANGANYIKA. Gwajima msikilize, namuunga mkono , ndiyo njia aliyochagua! Wewe na mimi Je?
15 Reactions
59 Replies
1K Views
What entails to be a socila contract in Tanzania ni ibara ya 8 (1)(a) ya katiba ya JMT. Hapa ndipo wanaanchi kwa kutumia kura zao huweka serikali madarakani kwa manufaa yao. Mtawala.anayedhania...
1 Reactions
3 Replies
117 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…