Demokrasia inatajwa kama mfumo wa utawala unaojengwa katika misingi ya uchaguzi huru na wa haki, utawala wa sheria na uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi.
Ukiitazama Marekani moja ya Taifa kubwa...
Wakongo wanamsema vibaya Samia Suluhu Hassan
Wanadai anapenda hela sana kuliko Yuda Iskariote. Kawakosea nini? Wanadai anaweza kuuza hata damu ya watoto wake..
Je, ni kweli Samia Suluhu Hassan...
Barabara nyingi za mitaa katika Wilaya ya Ubungo zimegeuka machinjio ya vyombo vya usafiri na chanzo kikuu cha hasara kwa wananchi, huku mamlaka husika zikionekana kushindwa kutoa suluhisho la...
Ahadi ya Kampeni ya kuanzisha bima ya Afya Kwa wote imetimia ndani ya siku 100 za Uongozi wa Rais Samia.
Ambapo Zoezi la kukabidhi kadi Kwa Wananchi walengwa wasio na uwezo wa kuchangia vifurushi...
Historia inaonesha uongozi unaweza kuwa halali Kisheria lakini ukakosa uhalali wa kijamii
Takribani miezi minne baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Tanzania inakabiliana na kipimo halisi...
Mama Hawa hawakurudi ccm kwamba wanaipenda nchi au wanataka siasa safi walikuja kufata vyeo vya udc au UuRC
Mama wakumbuke Hawa watu walizunguka nchi nzima kuisema chadema ilivyo mbaya na Ili...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimepita Sehemu mtandaoni nikakutana na ujumbe wa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa. Ujumbe ambao umenikosha na kunigusa sana. Ni ujumbe Ambao amejaa mafundisho na darasa...
Kuna tofauti kubwa kati ya kusoma sana na kuelimika sana. Rais Samia ameelimika sana kuliko marais waliomtangulia. Anatumia elimu yake binafsi kufanikisha mambo ya watanzania wake kwa speed kubwa...
Wakati kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ikiendelea, imeonekana upande wa Serikali umekosa ushahidi wenye mashiko wa kumbana mwanasiasa huyo, hivyo mawakili wa upande...
Mahakama ya kisheria ya Kimataifa inayohusika kusikiliza na kutoa hukumu kwa kesi za jinai ICC, kupitia Baraza la Wanasheria wake limeviambia vyombo vya habari kuwa litafika Tanzania kuanza...
Ameandika Hilda Newton
Majina yake anaitwa Aidan Francis Msuya wengi humwita Danny, ni mtoto wa Mzee Msuya ambaye alikuwa mtumishi wa kawaida UDSM siyo Profesa.
Msuya amesoma shule ya Msingi...
Mnashirikiana nao vipi katika mazishi haya ya Kardinali Pengo?
Sisemi mjenge uadui na serikali, hapana. Ila msiwahusishe, waje kama waombolezaji wengine na wapewe kiti cha mbele , lakini si...
Akizungumza na waandishi wa habari Januari 19, 2018 baada ya kufanya kikao na mawaziri wa wakati huo, Dk Augustine Mahiga (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki) na Balozi Ally...
Video
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Watumishi Wa Wizara Ya Mambo Ya Nje Na Ushirikiano Wa Afrika Mashariki Katika Ukumbi Wa Kimataifa Wa Julius...
Kila kada wa CCM sasa hivi utamsikia anajifanya yupo karibu na vijana hasa majenzii.
Hii ni suluhu ya rais Samia kujubalika kwa Watanzania?
Huku kuna kovu kubwa hasa kuuliwa kwa raia ambao hata...
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limetoa ufafanuzi kufuatia kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa watuhumiwa wanne, akiwemo Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVICHA) Mkoa wa...
Wakuu,
Haya ndugu zangu,
Akizungumza leo, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa mwaka huu Serikali ya Samia itanunua ndege 4 ikiwa ni sehemu ya kukamilisha ilani ya CCM ambayo...
1. Mpeni maiki mzee Warioba aitishe mchakato wa Katiba Mpya kuanzia Sasa, Lissu na Polepole wateuliwe Moja Kwa Moja kuwa wabunge wa mchakato wa Katiba Mpya, watoke huko walipo Hadi Bungeni...