Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimeona wengi wa wananchi wakipongeza kauli ya Nchimbi kuhusu conflicts za vyama. Na hii ndo kawaida ya wanongo kuingia king kwa Mkono wa kushoto. Binafsi napinga maana kama ni kelele zilipigwa...
3 Reactions
2 Replies
73 Views
Tunapaswa kuandika barua kwa wingi kwenye mamlaka za marekani kuomba delta force waje kukamata hawa wasio julikana watekaji na wauwaji nchini. Ni wazi sasa tunahitaji msaada wa kijeshi wenye...
6 Reactions
24 Replies
297 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28...
2 Reactions
3 Replies
139 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.Jana tumempumzisha kwenye makao yake ya milele, katika makaburi ya Pugu, Mpendwa wetu, Mwadhama Polycarp, Cardinali Pengo...
3 Reactions
6 Replies
107 Views
Credit kwa Pascal Mayalla Marekani, US, na washarika wake, EU, kupitia mashirika yao ya kibeberu ikiwemo IMF, WB, US AID, CIA, NATO, etc, ndio nchi zinazoongoza kwa imperialism, wakiamua kiongozi...
27 Reactions
198 Replies
5K Views
Dr nchimbi Leo akiwa kwenye mazishi ya Kardinali pengo alipata fursa hadhimu ya kutoa nenoa fursa ambayo Dr Samia alinyimwa live Jana Moja ya kauli ni kuwa anachukizwa na ugomvi wa VYAMA vya...
4 Reactions
3 Replies
110 Views
Ina maana kweli Samia hana anayemheshimu? Nakumbuka Nyerere alipomuweka ndani Mshelisheli aliyesema serikali ameiweka mfukoni, walikuja watu kumuomba Nyerere amsamehe, akakataa! Akaja Askofu...
9 Reactions
16 Replies
300 Views
Kuanzia ngazi zote CCM huwa wanatumi mabavu kuleta ghasia na kunyanyasa wapinzani kwa kutumia jeshi la Polisi na mahakama. Angalia zile vurugu alizofanyiwa Heche alipokuwa Igunga. Kamata...
2 Reactions
1 Replies
121 Views
Aliyekuwa mgombea ubunge wa viti maalumu kupitia Umoja wa Wazazi wa CCM, Olivia Chagula, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 kushiriki uchaguzi mkuu kwa kupiga kura bila hofu...
1 Reactions
3 Replies
288 Views
Rafiki yetu kindaki ndaki Iran amepoteza Kiongozi wao Ayatollah Khamenei. Hivyo wizara imuandalie safari Mstaafu maarufu ya kwenda kutuwakilisha kwenye mazishi huko Tehran
1 Reactions
7 Replies
207 Views
Kanisa la Roman Catholic linajitosheleza kwa kila idara lina kitengo cha ujasusi The Jesuit lina benki yake Bank of Vatican, lina miradi mikubwa dunia nzima, uchumi wake Tanzania ikasome...
21 Reactions
36 Replies
1K Views
WAZIRI MKUU ATEMBELEA OFISI ZA CCM MKOA WA MANYARA WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 1, 2026 ametembelea Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara na kusalimiana na viongozi wa...
2 Reactions
1 Replies
88 Views
Kazi Inaendelea Ziara ya Kikazi Mkoa wa Manyara
1 Reactions
1 Replies
51 Views
  • Redirect
Mliwafungia miezi 3 , wametiii sheria bila shuruti, sasa tatizo liko wapi? Tueleze na sisi umma tujue tatizo ni nini!? Hii ni very very important news outlet kwa Tanzania na dunia kwa ujumla kwa...
0 Reactions
Replies
Views
Kufuatia wito wa viongozi wa Chama. Naahidi kuchangia CCM pesa kwa ajili ya Kampeni za uchaguzi Mkuu. NB: Nashauri UCHANGIAJI Pesa ya Kampeni CCM usiwe hiari. Kampuni za simu zitumike kukusanya...
5 Reactions
165 Replies
4K Views
Nashangaa sana kwamba Watanzania wengi, hasa watu wa bara, hawajagundua kwamba awamu ya sita imevunja muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar bila maandishi au matangazo. Hadi sasa kuna...
26 Reactions
132 Replies
2K Views
My Take Kuna baadhi ya Nyumbu wa Chadema wataanza kubishq na Kutukana hovyo. Tanzania inasonga mbele. Pia soma hapa PreGE2025 - Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi...
4 Reactions
58 Replies
443 Views
Baada ya Kifo cha Ayatollah na kukamatwa kwa Maduro. Uhai wa Serikali za kidikteta dunia utakuwa mfupi sana hasa Afrika Kwa nini naona hali hii? China ambaye anaonekana ni mbadala wa Marekani...
2 Reactions
10 Replies
214 Views
Kwa sasa, sina shaka muungano wetu ulioanzishwa na wakoloni hauna maana yoyote. Umegeuka mzigo na ukoloni kwa Tanganyika iliyouawa na ubinafsi na udkteta wa Nyerere na woga wa Karume asipinduliwe...
3 Reactions
2 Replies
76 Views
Unadhani ni Kwanini dhahama Hilo la aibu limemkuta? Nasubiri majibu yenu
10 Reactions
83 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…