Nimeona wengi wa wananchi wakipongeza kauli ya Nchimbi kuhusu conflicts za vyama. Na hii ndo kawaida ya wanongo kuingia king kwa Mkono wa kushoto. Binafsi napinga maana kama ni kelele zilipigwa...
Tunapaswa kuandika barua kwa wingi kwenye mamlaka za marekani kuomba delta force waje kukamata hawa wasio julikana watekaji na wauwaji nchini.
Ni wazi sasa tunahitaji msaada wa kijeshi wenye...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28...
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.Jana tumempumzisha kwenye makao yake ya milele, katika makaburi ya Pugu, Mpendwa wetu, Mwadhama Polycarp, Cardinali Pengo...
Credit kwa Pascal Mayalla
Marekani, US, na washarika wake, EU, kupitia mashirika yao ya kibeberu ikiwemo IMF, WB, US AID, CIA, NATO, etc, ndio nchi zinazoongoza kwa imperialism, wakiamua kiongozi...
Dr nchimbi Leo akiwa kwenye mazishi ya Kardinali pengo alipata fursa hadhimu ya kutoa nenoa fursa ambayo Dr Samia alinyimwa live Jana
Moja ya kauli ni kuwa anachukizwa na ugomvi wa VYAMA vya...
Ina maana kweli Samia hana anayemheshimu?
Nakumbuka Nyerere alipomuweka ndani Mshelisheli aliyesema serikali ameiweka mfukoni, walikuja watu kumuomba Nyerere amsamehe, akakataa! Akaja Askofu...
Kuanzia ngazi zote CCM huwa wanatumi mabavu kuleta ghasia na kunyanyasa wapinzani kwa kutumia jeshi la Polisi na mahakama.
Angalia zile vurugu alizofanyiwa Heche alipokuwa Igunga.
Kamata...
Aliyekuwa mgombea ubunge wa viti maalumu kupitia Umoja wa Wazazi wa CCM, Olivia Chagula, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 kushiriki uchaguzi mkuu kwa kupiga kura bila hofu...
Rafiki yetu kindaki ndaki Iran amepoteza Kiongozi wao Ayatollah Khamenei. Hivyo wizara imuandalie safari Mstaafu
maarufu ya kwenda kutuwakilisha kwenye mazishi huko Tehran
Kanisa la Roman Catholic linajitosheleza kwa kila idara lina kitengo cha ujasusi The Jesuit lina benki yake Bank of Vatican, lina miradi mikubwa dunia nzima, uchumi wake Tanzania ikasome...
WAZIRI MKUU ATEMBELEA OFISI ZA CCM MKOA WA MANYARA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 1, 2026 ametembelea Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara na kusalimiana na viongozi wa...
Mliwafungia miezi 3 , wametiii sheria bila shuruti, sasa tatizo liko wapi?
Tueleze na sisi umma tujue tatizo ni nini!? Hii ni very very important news outlet kwa Tanzania na dunia kwa ujumla kwa...
Kufuatia wito wa viongozi wa Chama. Naahidi kuchangia CCM pesa kwa ajili ya Kampeni za uchaguzi Mkuu.
NB: Nashauri UCHANGIAJI Pesa ya Kampeni CCM usiwe hiari. Kampuni za simu zitumike kukusanya...
Nashangaa sana kwamba Watanzania wengi, hasa watu wa bara, hawajagundua kwamba awamu ya sita imevunja muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar bila maandishi au matangazo. Hadi sasa kuna...
My Take
Kuna baadhi ya Nyumbu wa Chadema wataanza kubishq na Kutukana hovyo.
Tanzania inasonga mbele.
Pia soma hapa PreGE2025 - Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi...
Baada ya Kifo cha Ayatollah na kukamatwa kwa Maduro. Uhai wa Serikali za kidikteta dunia utakuwa mfupi sana hasa Afrika
Kwa nini naona hali hii?
China ambaye anaonekana ni mbadala wa Marekani...
Kwa sasa, sina shaka muungano wetu ulioanzishwa na wakoloni hauna maana yoyote. Umegeuka mzigo na ukoloni kwa Tanganyika iliyouawa na ubinafsi na udkteta wa Nyerere na woga wa Karume asipinduliwe...