Wadau, baada ya Edward Lowasa kupitia taarifa ya hali ya kisiasa aliyopata akiwa ziarani Mkoa wa Mara hivi karibuni kubaini kuwa kwa sasa amepoteza mvuto Kanda ya Ziwa na kwamba baadhi ya makada...
Ndg Edward Lowasa mwenye kutamani urais kila uchao amezidi kukumbwa na jinamizi linalovujisha siri zake kila uchao.
Jana kuna vikao vimefanyika Dodoma na Arusha vikao vyote vimeazimia...
Kufuatia mvutano mkubwa juu ya uwepo wa kipengele kinachotamka mahakama ya kadhi ndani ya rasimu ya chenge, sarakasi sasa ndo zimeanza rasmi jioni ya leo.
Huo mvutano unatokana na waislamu...
Ni kwanini serikali haitoa kipaumbele katia uwekezaji wa viwanda hapa nchini?Hivi tukiwekeza katika viwanda ambavyo sehemu kubwa ya maliasili/malighafi zitatoka hapa nchini tutashindwa...
President Jakaya Mrisho Kikwete delivers his public lecture on "The roll of academic
Partnership in funding solution to Global challenges and advancing Tanzanian's Prioritys"
at Rutgers State...
Tutawaambia Watanzania kila wakati kuwa serikali ya Chama Cha Mapinduzi imejaa wezi wa mali zao na muda umefika sasa Watanzania wajiandae kuibadili. Huku la posho, madaktari, katiba na matumizi ya...
URAIA KATIKA JAMHURI YA MUUNGANO
Uraia wa Jamhuri yaMuungano
65.-(1) Mtu ambaye, kabla ya Katiba hii kuanza kutumika, ni raia wa
Jamhuri ya Muungano ataendelea kuwa raia wa Jamhuri ya...
Kuna kundi la wazanzibari wapatao 14 wako Scotland kama wageni wa chama cha SNP ambacho kunaweza kutwaa mamlaka iwapo kura ya maoni ya uhuru toka kwa Uingereza Itapita
Inavyoonekana kuwa...
Kutoka na vyombo vya habari mbalimbali kulipoti kuwa kontema la meno ya tembo lililokamatwa Zanzibar.
Jumla ya vipande vya meno ya tembo 1012 vimehesabiwa, kwa hiyo ukigawanya ni kama tembo 505...
Hapa chini naomba tuangalie kiuhalisia hizi picha zinajionyesha na Mara nyingi picha uongea ukiiangalia,
Mkutano kwa siku ya leo ulimalizikia katika Kijiji cha Mbwewe,Pichani ni...
Serikali Kupitia Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na utalii wetu ndugu Lazaro Nyalandu imeziita habari zilizo ripotiwa na gazeti la Daily Mail la Uingereza juu ya Udhaifu wa Serikali kwenye...
Mwanasheria mkuu wa serikali,jaji Fredrick Werema, amesema serikali inakusudia kulishitaki gazeti la Daily Mail la Uingereza na mhariri wake kwa kumchafua Raisi Kikwete kuwa anafumbia macho mauaji...
Freeman Mbowe wa Chadema aliyevaa nguo za khaki...akiwa Ikulu na rafiki yake rais JM Kikwete wa CCM
Hivi kuna mtu anajua mawaziri vivuli wa Chadema ni akina nani na je kuna mwenye kujua...
Ninaamini kwamba baada ya John Pombe Magufuli kuuchukua uwenyekiti wa CCM taifa, atausuka kisayansi uongozi wote wa CCM kuanzia ngazi ya taifa na kushuka hadi mashinani.
Na kwa hiyo atakuwa...
WEDNESDAY, FEBRUARY 12, 2014
Moja ya mabango yaliyozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kwa ajili ya...
Published On: Tue, Jan 10th, 2012 |
The government has set aside 1bn/- which would be spent to rehabilitate Lindi Port located to enable it improve operations and income.
This was revealed by...
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6...