Tamko la Waziri wa Maliasili na Utalii Dakta Hamisi Kigwangala la kuwataka Wananchi wa Kaya takribani elfu tatu katika Kijiji cha Kimotorok Wilayani Simanjiro wahame kupisha shughuli za uhifadhi...
Rais Magufuli leo anauzindua rasmi Ukuta wa Mirerani unaozunguka machimbo ya madini ya Tanzanite. Ukuta huo umejengwa na vikosi shupavu vya Majeshi yetu ya ulinzi. Tukio hili litarushwa mubashara...
Wadau madini kuandamana kumpongeza
WADAU wa madini na wachimbaji wa mkoa wa Manyara, wanatarajia kuandamana Jumamosi ijayo, kwa lengo la kumshukuru Rais John Magufuli kwa kukubali kutia saini...
Mtu mmoja amefariki dunia kwenye msafara wa Waziri wa Utalii Hamisi Kigwangalla, aka HKigwangalla huku mheshimiwa waziri mwenyewe akiwa amejeruhiwa....
Aliyefariki ni mwana JamiiForums mwenzetu...
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amewataka madiwani wa vyama vya upinzani kujiunga na CCM ili waweze kushirikiana naye kutekeleza ilani ya uchaguzi ya chama tawala.
Amesema yupo tayari...
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Hamis Malinga amefariki dunia kwenye hospitali ya rufaa ya mkoa huo alipokuwa amelazwa, mbunge wa Babati Vijijini, Vrajlal...
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Manyara. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa...
Madkatari wa Hospitali ya wilaya ya Manyara wanadai fedha zaidi ya milioni 70 ikiwa ni malimbikizo ya fedha ya posho ya dharura. Watishia kugoma wasipolipwa.
Source: ITV habari
Diwani wa Kata ya Masakta Wilayani Hanang', Marco Martini Kia (CHADEMA) amejiuzulu nafasi hiyo na kujiunga na CCM
Hanang. Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti, ametaka Diwani wa Kata ya...
BASHUNGWA AMVAA MKANDARASI WA STENDI YA KATESH - HANANG
OR TAMISEMI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa hajaridhishwa na kasi ya...
Shirikisho la vyama vya wachimbaji wadogo Tanzania leo limefanya maandamano ya amani kuunga mkono na kumshukuru Rais John Magufuli kwa kusikiliza na kutatua baadhi ya changamoto zilizokuwepo...
Kitu kikikutwa kwako au shambani ndo kusema mwenye ngozi ndiye aliyekula nyama au? AK-47 iliyokutwa huko shambani kwa diwani ni yake kweli au laah maana ina shida imetumika kwa matukio sana
Hakimu mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya hakimu mkazi Manyara Mh. Simon Kobero mnamo tarehe 27/ 05/2021 amemhukumu kwenda jela kutumikia kifugo cha miaka 2 au kulipa faini ya sh. 300,000/= mwenyekiti...
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amemshukia mbunge wa Babati Vijijini (CCM), Vrajlal Jituson kuwa atamchukulia hatua kali endapo ataendelea kuchochea migogoro ya ardhi kwenye eneo hilo...
Kama tulivyotarajia tangu awali , Serikali ya Tanzania imekizuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo , kuwafariji watu wa Hanang , ambako viongozi wake wamekatazwa hata kutembelea Wagonjwa...
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Manyara. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa...
VIDEO- MANYANYASO YA POLISI KWA WANAKIJIJI WA KENDWA | Mzalendo.net
Jee amiri jeshi mkuu Jakaya Kikwete na Generali wa Jeshi la Polisi Saidi Mwema haya ndio malezi ya Jeshi lao zidi ya raia wa...
Serikali ya Kenya kwa mara nyingine imezua magari yaliyosajiliwa Tanzania kupakia au kushusha watalii kwenye Uwanja wa ndege wa kimataifa Jomo Kenyatta (JKIA), hifadhi za taifa na mapori ya akiba...
World bank nasikia wametunyima mkopo dola million 300 kutokana na serikali kuweka msimamo ya kuhusu mimba za utotoni.Kwangu mimi niliyepitia shule najua ni vitu vya kawaida sana kwa hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.