Ukiwa na matumaini makubwa ya kuwa raia namba moja nchini, ulianza kampeni mapema kwa kuandika mabango kwa mamia katika maeneo yote muhimu na pia katika structures nyingi zilizo barabarani nchi...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema mkoa wa Dar es Salaam bado unaongoza kwa matukio ya ukatili wa kijinsia nchini Tanzania, huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni msongamano wa watu...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, tarehe 5 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
#KaziNaUtuTunasongaMbele...
Hiyo ni kutokana na hali ya utovu wa kiusalama unaochochewa mapigano makali yanoyoendelea mashariki ya kati kwasababu ambazo ni kizungumkuti mpaka sasa. Ni wazi kwa mwaka huu2026, upo uwezekano wa...
Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni?
HIi ni hoja nzito sana na sii ya kuchukuliwa kirahisi
Ili Chama cha Siasa kikue...
Kampeni zimeisha na tayari Serikali imepatikana. Huu si muda wa ofisi za umma kuendelea kutumika kufanya propaganda, kama vile kucheza sauti zenye jumbe za kiitikadi kana kwamba bado tupo katika...
Ngoma bado NZITO, ahahahaa
Pascally Mayalla na mwenzake kupitia jambo Tv wako liveeeee!
Pascally asema anawaheshimu viongozi wa serikali ila hawaogopi, asema uhuru wake aliopewa na katiba ibara...
Kwa muda mrefu madai haya tuliyadai ndani ya chama nikiwa mwenyekiti wa chama na hatukufanikiwa kisawasawa, na tukaona kwa sasa ni kuyaleta kwenye vyombo vya sheria na mahakama ambapo tukaona...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amesisitiza kuwa dhana ya haki na amani haziwezi kutenganishwa katika ujenzi wa taifa imara, akizitaja kuwa ni pande mbili za sarafu moja.
Akizungumza jana...
NB: Picha kutoka mtandaoni
Lilikuwa ni wazo jema sana kuanzisha kampuni za uzoaji taka kwenye Jiji na hata kwenye maeneo ya makazi ya watu ili kuweka Jiji safi na kuondoa taka mitaani ili kuuweka...
Tamisemi imesema , kwa sasa hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa..
Katika taarifa hiyo hawajaeleza kama sheria imebadirishwa kuzuia watumishi kuhama kutokana na ssbabu mbalimbali...
Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kukishtaki chama mahakamani kwenda kukiua...
Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni...
Wanabodi,
Hii ni makala ya Jumapili hii
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa"
Siku ya Mei 3 kila mwaka ni Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa...
GT
CCM Hali mbaya sana hawajui wafanye nini Mjidaganya.
1. Mmetuma Mwigulu akafokefoke eti wananchi tutamwelewa?
2. Kwani Mwigulu anapambana na majizi na mafisadi.yapi ambayo hatuoni...
Huyu mzee anatumika au anawatumikia wahuni tumkatae na kumnyanyapaa. Rais anaesema tunae alichaguliwa na wakina nani?
Kikundi cha wahuni waliopola power kujipachika madarakani tena kwa kumwaga...
"Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana...
Linganisha idadi ya vifo katika vita hii kali kabisa halaf linganisha na mauaji waliyofanya CCM na Polisi ndani ya siku moja tu(siku moja tu), ili Samia awe Rais:
Muhtasari wa Makadirio ya Idadi...
Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari haikuona Majaliwa akishangiliwa?
---
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa...
Mwandishi Pascal Mayalla akihojiwa na mwandishi wa DW amesema kuwa Kiongozi akisemwa kitu ambacho hajakipenda anatakiwa kulalamika yeye na si mamlaka za udhibiti, kwani kufanya hivyo inakuwa kama...