Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukiwa na matumaini makubwa ya kuwa raia namba moja nchini, ulianza kampeni mapema kwa kuandika mabango kwa mamia katika maeneo yote muhimu na pia katika structures nyingi zilizo barabarani nchi...
11 Reactions
214 Replies
25K Views
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema mkoa wa Dar es Salaam bado unaongoza kwa matukio ya ukatili wa kijinsia nchini Tanzania, huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni msongamano wa watu...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
  • Redirect
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, tarehe 5 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam. #KaziNaUtuTunasongaMbele...
0 Reactions
Replies
Views
Hiyo ni kutokana na hali ya utovu wa kiusalama unaochochewa mapigano makali yanoyoendelea mashariki ya kati kwasababu ambazo ni kizungumkuti mpaka sasa. Ni wazi kwa mwaka huu2026, upo uwezekano wa...
1 Reactions
1 Replies
121 Views
Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni? HIi ni hoja nzito sana na sii ya kuchukuliwa kirahisi Ili Chama cha Siasa kikue...
1 Reactions
157 Replies
1K Views
  • Featured
Kampeni zimeisha na tayari Serikali imepatikana. Huu si muda wa ofisi za umma kuendelea kutumika kufanya propaganda, kama vile kucheza sauti zenye jumbe za kiitikadi kana kwamba bado tupo katika...
13 Reactions
9 Replies
563 Views
Ngoma bado NZITO, ahahahaa Pascally Mayalla na mwenzake kupitia jambo Tv wako liveeeee! Pascally asema anawaheshimu viongozi wa serikali ila hawaogopi, asema uhuru wake aliopewa na katiba ibara...
20 Reactions
52 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu madai haya tuliyadai ndani ya chama nikiwa mwenyekiti wa chama na hatukufanikiwa kisawasawa, na tukaona kwa sasa ni kuyaleta kwenye vyombo vya sheria na mahakama ambapo tukaona...
0 Reactions
14 Replies
327 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amesisitiza kuwa dhana ya haki na amani haziwezi kutenganishwa katika ujenzi wa taifa imara, akizitaja kuwa ni pande mbili za sarafu moja. Akizungumza jana...
0 Reactions
3 Replies
163 Views
NB: Picha kutoka mtandaoni Lilikuwa ni wazo jema sana kuanzisha kampuni za uzoaji taka kwenye Jiji na hata kwenye maeneo ya makazi ya watu ili kuweka Jiji safi na kuondoa taka mitaani ili kuuweka...
0 Reactions
3 Replies
124 Views
Tamisemi imesema , kwa sasa hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa.. Katika taarifa hiyo hawajaeleza kama sheria imebadirishwa kuzuia watumishi kuhama kutokana na ssbabu mbalimbali...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kukishtaki chama mahakamani kwenda kukiua...
0 Reactions
2 Replies
196 Views
  • Featured
Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni...
10 Reactions
18 Replies
797 Views
Wanabodi, Hii ni makala ya Jumapili hii Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Siku ya Mei 3 kila mwaka ni Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
GT CCM Hali mbaya sana hawajui wafanye nini Mjidaganya. 1. Mmetuma Mwigulu akafokefoke eti wananchi tutamwelewa? 2. Kwani Mwigulu anapambana na majizi na mafisadi.yapi ambayo hatuoni...
10 Reactions
35 Replies
556 Views
  • Redirect
Huyu mzee anatumika au anawatumikia wahuni tumkatae na kumnyanyapaa. Rais anaesema tunae alichaguliwa na wakina nani? Kikundi cha wahuni waliopola power kujipachika madarakani tena kwa kumwaga...
6 Reactions
Replies
Views
"Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana...
20 Reactions
37 Replies
1K Views
Linganisha idadi ya vifo katika vita hii kali kabisa halaf linganisha na mauaji waliyofanya CCM na Polisi ndani ya siku moja tu(siku moja tu), ili Samia awe Rais: Muhtasari wa Makadirio ya Idadi...
4 Reactions
21 Replies
522 Views
  • Featured
Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari haikuona Majaliwa akishangiliwa? --- Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa...
32 Reactions
122 Replies
3K Views
Mwandishi Pascal Mayalla akihojiwa na mwandishi wa DW amesema kuwa Kiongozi akisemwa kitu ambacho hajakipenda anatakiwa kulalamika yeye na si mamlaka za udhibiti, kwani kufanya hivyo inakuwa kama...
14 Reactions
10 Replies
371 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…