Siku hizi Lowassa anashika Mic mbilimbili hadi tatu

H.T.P

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
1,169
1,298
Busara ni jambo la msingi sana lakini pia usimdharau mtu kabla ya kifo chake.

Baada ya hako kautangulizi niwasalimu ndugu zangu sisi watanzania...wote tumeshuhudia kauli chafu na za kejeli alizokua anarushiwa raisi wetu mh Edward Ngoyai Lowasa kuwa amechoka hawezi kushika Mic wala tu kujifuta mdomo!

Jamani Mungu hadhihakiwi.. Yeye ndo anayeamua nani awe mzima na nani apate maradhi.. Mimi nimemshudia mh Lowasa akishika mic mbili hadi tatu mkononi bila kutetemeka...Mungu ametuumba jamani anaweza kufanya lolote
 
Mtu Anapiga Mikutano Mitatu Mitatu Kila Siku Na Hajawai Kuanguka Jukwaani Wanasema Ni Mgonjwa, Na Ndio Maana Tumewaambia Kama Ni Mgonjwa Basi Akafie Ikulu
 
  • Thanks
Reactions: C.K
busara ni jambo la msingi sana lakini pia usimdharau mtu kabla ya kifo chake.

Baada ya hako kautangulizi niwasalimu ndugu zangu sisi watanzania...wote tumeshuhudia kauli chafu na za kejeli alizokua anarushiwa raisi wetu mh edward ngoyai lowasa kuwa amechoka hawezi kushika mic wala tu kujifuta mdomo!

Jamani mungu hadhihakiwi.. Yeye ndo anayeamua nani awe mzima na nani apate maradhi.. Mimi nimemshudia mh lowasa akishika mic mbili hadi tatu mkononi bila kutetemeka...mungu ametuumba jamani anaweza kufanya lolote

una maana rais wa chadema?
 
Busara ni jambo la msingi sana lakini pia usimdharau mtu kabla ya kifo chake.

Baada ya hako kautangulizi niwasalimu ndugu zangu sisi watanzania...wote tumeshuhudia kauli chafu na za kejeli alizokua anarushiwa raisi wetu mh Edward Ngoyai Lowasa kuwa amechoka hawezi kushika Mic wala tu kujifuta mdomo!

Jamani Mungu hadhihakiwi.. Yeye ndo anayeamua nani awe mzima na nani apate maradhi.. Mimi nimemshudia mh Lowasa akishika mic mbili hadi tatu mkononi bila kutetemeka...Mungu ametuumba jamani anaweza kufanya lolote

Kabisa mkuu, mungu ndio anajua afya ya kila mmoja wetu, unaweza ukamkandia mwenzako afya likakumba wewe mara 2, hakuna mtu anapenda ugonjwa.
 
Wanatukana sisi tunaendelea kutafuta kura
 

Attachments

  • 1442819454429.jpg
    1442819454429.jpg
    50.7 KB · Views: 968
  • 1442819488224.jpg
    1442819488224.jpg
    37.6 KB · Views: 916
Hata kama mtu aumpendi sio vizuri kujikita kwenye ugonjwa kwani sisi sote hafya tunazojidai nazo tumeazima kwa muda naweza kuondoka Mimi au yeyote anayeshabikia ugonjwa tujikite kwenye hoja za msingi Tanzania inayo matatizo mengi ambayo tunaweza kuchangia bira kuingiza swala la ugonjwa mbona jk alikuwa anaanguka majukwaani hila aikuwa hoja ya kitaifa kama hii ya EL
 
acha akafie ikulu ila kura yangu na ukoo wangu wote atazipata kabla ya saa tatu asbh
 
busara ni jambo la msingi sana lakini pia usimdharau mtu kabla ya kifo chake.

Baada ya hako kautangulizi niwasalimu ndugu zangu sisi watanzania...wote tumeshuhudia kauli chafu na za kejeli alizokua anarushiwa raisi wetu mh edward ngoyai lowasa kuwa amechoka hawezi kushika mic wala tu kujifuta mdomo!

Jamani mungu hadhihakiwi.. Yeye ndo anayeamua nani awe mzima na nani apate maradhi.. Mimi nimemshudia mh lowasa akishika mic mbili hadi tatu mkononi bila kutetemeka...mungu ametuumba jamani anaweza kufanya lolote

amongeza na dakika za kuongea kutoka 3 hadi 5., nice improovement au vipiiiiiiiiiiii
 
Kipindi nchi hii ilikuwa inajikita katika vitu vitatu ili iweze kuendelea; Ardhi, Watu na Siasa Safi kulikuwa na maana yake tena muhimu sana. Wakati tunapata uhuru, ardhi ilikuwepo kubwa tu ila watu walikuwa wachache na siasa safi haikuwa safi kwa sababu walikuwa wamridhi siasa za propaganda kutoka kwa wakoloni na vibaraka wao. Miaka 50 baada ya uhuru, ardhi yenye maliasili nyingi ipo, watu wapo tena wakiwa na utalaam wa kila aina ila bado hakuna Siasa Safi kwa hiyo tusitegemee maendeleo. Siasa zilizopo zinajikita katik unafiki, uchochezi na uongo wa hali ya juu. Watu wanajikita katika vitu vidogo ambavyo havina mchongo wowote katika maendeleo. Vitu kama Mgombea huyu ni mgonjwa, kakosea kasema Sadam Husein ni wa Libya, kasema CCM Hoyee, Anaweza kupanda ghorofa anaweza, haweiz kukimbia mchaka mchaka !!! Vina faida gani kwa mwananchi wa kawaida ? Kama Mgombea kakosea kusema Sadam Husein ni wa Libya ina madhara gani hiyo ? Akiiingia Ikulu si atakuwa na washauri; aidha, mnataka Rais mwenye nguvu za kukimbia kwani wamaenda kushindana na akina Husei Bolt ? Kwa Siasa chafu za kujenga chuki na utengano miongoni wa Watzania, maendeleo yakujaje ilhali watu wanajitahidi kukwamishana kwa kila hali ilimradi mwenzake aonekane hajafanya chochote ili kipindi kijacho asichaguliwe, hiyo ni kuwaadhibu wanachi wasio na hatia !!!
 
amongeza na dakika za kuongea kutoka 3 hadi 5., nice improovement au vipiiiiiiiiiiii
Mkuu, nani kakwambia kuwa kuongea sana ndo kipimo cha utendaji mzuri ? Uzoefu unaonyesha kuwa watu wanaongea sana ni waongo na wepesi wa kusahau waliokwisha sema. watu wakimya ni watendaji wazuri ingawa ni wagumu kushauriwa maana hawaingiliki kwa urahisi, lakini wanatoa maamuzi yenye msimamo mikali. Kama kuongea muda mrefu ni kipimo cha utendaji uliotukuk, nchi hii ingekuwa mbali kimaendeleo maana tumekuwa na Marais wanaoongea sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom