Nawapongeza wagombea urais kutokua na kampeni za matusi

Abel 2015

Senior Member
Sep 5, 2015
112
55
Hongereni magufuli, Lowassa, mngwira NA rungwe kutokua na matusi kwenye mikutano yenu Bali team zenu za kampeni ndizo zimekua NA matusi hususani chama kimoja wapo ndicho kinaongoza kwa kuporomosha matusi.

Abel sere from Moshi
 
Mkutano huwa ni wa mgombea hivyo kama watu wako wanatukana ni wewe umetukana. Kwa maana hiyo Magufuli anatukana maana hawakemei watu wake
 
Kura yangu kwa lowasa ila runge kanifurahisha anahutubia watu5 hivi haf anasemaa asanteeni mkuja mamilion kwa mamilion
 
Mkutano huwa ni wa mgombea hivyo kama watu wako wanatukana ni wewe umetukana. Kwa maana hiyo Magufuli anatukana maana hawakemei watu wake

Ni kweli,lakini si shangai mwenye ana maneno ya kashfa mfano asiye kuwa na pesa akapige mbizi,Biharamulo samabzeni kinyesi chenu ili kiwe lami duh,hivyo sishangai akishindwa kukemea matusi kwani ni hulka yake,najiuliza leo tukimchagua na siku tukakosea kumkumbusha ahadi zake tutasikia kama hutaki hama nchi ..........
 
Back
Top Bottom