Kansigo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 2,670
- 2,156
karibuni katika mjadala wa kistaarabu wa mustakabali wa taifa letu
=========================================
=========================================
Habari hii si ya kweli na imekanushwa na Ofisi ya Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wake uliopo Dar es Salaam, Tanzania.
Haya ni maelezo kutoka kwenye Ukurasa wa Facebook uliothibitishwa wa Ofisi hiyo:-
=========================================
=========================================
Habari hii si ya kweli na imekanushwa na Ofisi ya Umoja wa Ulaya kupitia Ubalozi wake uliopo Dar es Salaam, Tanzania.
Haya ni maelezo kutoka kwenye Ukurasa wa Facebook uliothibitishwa wa Ofisi hiyo:-
It is disappointing to see a social media wave, falsely quoting the European Union with misleading claims of interference in the elections in Tanzania by endorsing or warning against candidates.
The EU refutes categorically misinformation originating from malicious documents.
The EU is sending an election observation mission to Tanzania, which will strictly adhere to international standards of independence and impartiality.