Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Salaam, Wananchama na Viongozi wa Chadema wanaowasili katika Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Dar es salaam, kufuatia maombi namba 28922/2025 ya Tundu Lissu akiomba kuunganishwa kwenye kesi ya...
1 Reactions
5 Replies
463 Views
Kijana Adriano Amos kutoka Rukwa amemhoji Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuwa lini Serikali itaunda katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, akaongeza kuwa najua kesho naweza kuamkia kuzimu, lakini...
15 Reactions
28 Replies
818 Views
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa...
1 Reactions
2 Replies
119 Views
Leo nilikutana na clip moja ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Chalamila. Katika clip hiyo Chalamila anasema moja ya sababu inayosababisha foleni zisiishe ni uwepo wa magari yenye namba A, na...
16 Reactions
90 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa...
1 Reactions
3 Replies
122 Views
Diwani wa CCM Kata ya Mzimuni katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mheshimiwa Manufred C. Lyoto amefariki dunia leo Machi 7, 2026 Taarifa za kifo chake zimetolewa na Mwenyekiti wa CCM...
9 Reactions
61 Replies
937 Views
Mie nashindwa kuwaelewa watu. Wanasema eti Lissu alisema "tutakinukisha" Sasa tatizo liko wapi? Je wanajua Lissu alisema watakinukisha kitu gani? Kukinukisha kitu ni kukifanya kitoe harufu nzuri...
2 Reactions
3 Replies
130 Views
LISSU SI MTU WA KAWAIDA: Jaji Alionya, Taifa Linashuhudia! 👉Huyo ndiye Tundu Lissu mashine iliyomeza vitabu vya sheria na kuvimeng’enya hadi kuwa silaha ya haki. Kama ingekuwa ni hadithi za...
16 Reactions
24 Replies
734 Views
Ewe Mzalendo Uende, usiende mshindi tunamjua. Urais: CCM, Ubunge: CCM, Udiwani: CCM, Msimamizi wa Uchaguzi: Mkurugenzi CCM Tume/Mwenyekiti/Makamu Mwenyekiti/Makamishna CCM
4 Reactions
22 Replies
768 Views
  • Featured
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaomba viongozi wa dini kuendelea kumwombea Rais Samia Suluhu dhidi ya watu wabaya ili wasipate nafasi ya kumsogelea yeye mwenyewe na Ikulu...
8 Reactions
88 Replies
2K Views
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana. Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye...
33 Reactions
613 Replies
22K Views
  • Redirect
https://www.instagram.com/p/DVqu19tDZRo/?igsh=cmRobzhldTQzYzY4
0 Reactions
Replies
Views
Jumuiya ya Madola imeipokea na kukubali dhamira ya Serikali ya Tanzania juu ya kupokea na kuwezesha ziara pamoja na kazi za Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo Dkt. Lazarus Chakwera...
0 Reactions
18 Replies
593 Views
Bila ubishi Kapembe anachukua kiti cha uenyekiti. Manunga alitumia pesa tu ambazo zilimpa uenyekiti bila ridhaa ya madiwani. Leo ametimuliwa. Hata uchaguzi ukirudiwa sasa hivi Kapembe anashinda.
1 Reactions
3 Replies
137 Views
Wanabodi, Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums. Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
45 Reactions
237 Replies
4K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu gazeti la Nipashe. Huu ni wito kwa wana tasnia ya habari, "Moja shika sii kumi nenda rudi " and "if you can't get what you want, then just take what you get"...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Magufuli pamoja na mapungufu yake yote alipenda watu waadilifu wasio na makandokando ndo maana alivyomstukia kondakta alimweka pembeni na kweli kondakta alikua team mtandao. Je wakati Magufuli...
1 Reactions
9 Replies
248 Views
Nimechukua muda kutafakari historia za kisiasa za Venezuela, Iran, Russia, China n.k pamoja na kuangalia Hali ya kisiasa ya dunia kwa sasa, ukweli mchungu ni kwamba katika nchi yetu ni vigumu...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Lengo la kuweka Jambo hili hapa JF ni kukumbusha kwamba hakuna mkubwa kuliko Mahakama na kwamba ukiitwa kutoa ushahidi ni lazima ufike.
21 Reactions
105 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…