Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kusitishwa kwa safari za treni kati ya Morogoro na Dodoma hakutokani na kuharibika kwa reli bali ni hatua za kitahadhari ili kudhibiti...
2 Reactions
7 Replies
373 Views
Hii inafikirisha sana, nchi zilizoendelea muuaji angekuwa tayari ameshakamatwa yupo ndani na ameachia ngazi kulinda heshima ya raia wake na nchi yake. Lakini Tanzania, Mtu aliyepora uhai wa...
5 Reactions
20 Replies
416 Views
Mwaka 2025 umeisha , ila hope utaanzia ulipoishia, vijana wangu Mungu awepe pumziko la milele pale mlipo ,na hukumu kwa mujibu ya matendo yenu hapa Duniani , najua niliwalea vizuri ,ila Mungu ndo...
5 Reactions
16 Replies
323 Views
Heri ya Mwaka Mpya Wakuu Huyu Bibi anatuona sisi wajinga na wapumbavu . Siku anaongea na wazee walevi wa Dar Es Salaam alitunanga kuwa nguvu iliyotumika ilistahili, maana aliridhia na alitoa...
27 Reactions
50 Replies
1K Views
Nadhani kuna watu wanafikiri wakiongea maneno matamu matamu basi watu wa ICC kule The Hague watasahau amri za kuua walizotoa na mauaji ya kutisha ya Oktoba 2025. Hakuna kitu kama hicho. Anzeni...
9 Reactions
19 Replies
439 Views
Waziri Simbachawene ametoa maagizo mbele ya kamera kwamba ukamataji ufanyike mchana na askari wawe wamevaa sare bila ninja. Na akaongeza kuwa watoe taarifa kwa serikali za mitaa. LAKINI bado...
2 Reactions
3 Replies
228 Views
Mara ya mwisho alitoa masaa 24 na tishio kali sana kwa samia na genge lake. Kwa alivokuwa anazungumza inaonekana lilikuwa ni jambo lilio ndani ya uwezo wake kuwadhuru magaidi hawa...
3 Reactions
15 Replies
603 Views
Nimeanza na maandiko matakatifu yasemayo "Linda moyo wako kuliko kitu Chochote kwa maana ndiko zitokako chemchem za uhai" (2026 dedication) Mnaposema wamekufa muwe mnasema wamekufa wakiwa...
4 Reactions
82 Replies
1K Views
Nauliza tuu wana bodi hivi namba 1 na namba 2 walikaa pamoja na wasaidizi wao wakaona watuletee namba 3?? Walitumia vigezo gani?? Au tuwaache tuu waendelee na mambo yao sisi hayatuhusu??
3 Reactions
39 Replies
957 Views
Serikali ya kidikitea. Haiko madarakani kwa lidhaa ya wananchi huwa haina sababu ya kujali mahitaji ya wananchi. Hii serikali ya haramu iliifungia Jamiiforums kwa siku 90. Siku 90 zilishaisha...
0 Reactions
6 Replies
136 Views
Mfalme Daudi licha ya kuwa ni mteule wa Mungu hakukaa tu na kutegemea maombi kuwakomboa waisrael kutoka kwenye ukatiri wa wafilisti. Daudi alimuua Goliathi kwa mapambano ili kuwaokoa waisrael na...
0 Reactions
0 Replies
128 Views
Mungu akujalie afya njema, umri mrefu zaidi na akulinde dhidi ya wahuni. Kama una neno la kumwambia mzee wetu, karibu hapa.
2 Reactions
4 Replies
146 Views
1. Mdude nyagali chadema atarudishwa Kwa mke wake au mahakamani. 2. Waliompiga risasi TUNDU LISSU mwaka 2017 watakamatwa na kuwekwa hadharani. 3. Waliomteka Mzee Ally Mohamed KIBAO watakamatwa...
5 Reactions
5 Replies
212 Views
Rais Samia Suluhu Hassan bado yumo katikati ya tatizo kubwa na tishio la maisha yake mwenyewe... Rais Samia Suluhu Hassan bado anatafunwa na kufunikwa na KIBURI na JEURI kwa sababu ya madaraka...
10 Reactions
16 Replies
422 Views
Naami heading pekee inajitosheleza kuelewa nachotaka kuongelea Imekuwa kawaida kwa mashirika na taasisi mbalimbali za serikali kudai fidia pale mteja anapoenda kinyume na makubaliaono ya awali...
1 Reactions
2 Replies
125 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amefika nyumbani kwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu. Leonard Qwihaya, Mbezi Beach...
4 Reactions
3 Replies
303 Views
Chama Cha Mapinduzi kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa mbunge Fuoni Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar. Matokeo ya uchaguzi huo yalitangazwa usiku wa jana Desemba 30, 2025 katika ofisi...
1 Reactions
3 Replies
234 Views
Wanasemaga kaskazini hatokagi fala. Sasa huyu jamaa anayejiita Paul Makonda, alitoa ahadi kama anaongea na wanafunzi wa chekechea—ahadi hizo ziko wapi? Kwa sasa yuko zake Morocco kwenye AFCON; no...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
"Kitu cha thamani ‘mbunge’ anawafanyia wananchi Dodoma Mjini ni kuwapa ‘gari la mazishi’ wakazikane? Kupanga ni kuchagua. Wananchi wa Dodoma Mjini walichagua ‘gari la mazishi’ siyo ‘gari la kubeba...
1 Reactions
2 Replies
155 Views
Internet haisahau. Miaka 12 iliyopita katika kesi ya Lwakatare, aliyekuwa mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Tundu Lissu, aliwatuhumu mpiga picha wa Rais Kikwete wa wakati huo...
3 Reactions
4 Replies
387 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…